South African Airways 'is on verge of bankruptcy'

Ni mwaka wa ngapi KQ inapata hasara na matatizo yalianza lini? Na kwann iliuza na kukodisha ndege zake? Kama abiria wa kutosha? Na kwann route ya Kampala-Nairobi ilikuwa ngumu KCAA kuiruhusu Rwandair kuanza kuhudumia? Ukijibu hayo utafutaji ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakuja mpumbavu kufananisha KQ na SAA! KQ haijapata hata nusu ya ukubwa wa SAA

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Miaka mingapi sasa? Since 2015, but what abou this year? Things are turning around.
 
Good.Nafasi kwa air Tanzania.The king is back


Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
Mbona hawa muda mrefu walikuwa under bail outs
 
South Africa pmj na uchumi wake uliyo imara lkn shirika linakaribia kufilisika

Sent using Jamii Forums mobile app
SA africa kwa sasa uchumi wake umeporomoka vibaya sana! Angalia tena utaona!

Hata hivyo, suala la aviation industry linaeleweka sio la kitoto, na tayari mfano tulishauona kwa shirika letu wenyewe kabla ya hayo mengine.
 
Sssa Bujumbura kuna biashara gani?CRDB wenyewe branch ya huko bujumbura wako choka mbovu.
Hawawezi kwenda bila research market analysis usichukulie vitu local kihivyo ile sio bodaboda
 
Hawawezi kwenda bila research market analysis usichukulie vitu local kihivyo ile sio bodaboda
Precision air Ilipoanza route za kwenda mara lusaka,entebbe na nchi nyinginezo unadhani hawakufanya analysis..

Ujuaji mwingi mbele kiza.
 
Precision air Ilipoanza route za kwenda mara lusaka,entebbe na nchi nyinginezo unadhani hawakufanya analysis..

Ujuaji mwingi mbele kiza.
Sasa Kwani soko likibadilika kutokana na some factors kinashindana kipi kuquit hiyo ndio business hawajawekewa superglue huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…