M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
mbona sijakuelewaSAA wanarejea kwa Kasi jijini Dar (JNIA) kuondoka 0510am kufika OR Tambo International airport 0755am. Bye bye KQ
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a Museveni.SAA wanarejea kwa Kasi jijini Dar (JNIA) kuondoka 0510am kufika OR Tambo International airport 0755am. Bye bye KQ
Masaa mangp kufika south?
Nauli yao utaiweza? Weka akiba ya maneno mnyambi.SAA wanarejea kwa Kasi jijini Dar (JNIA) kuondoka 0510am kufika OR Tambo International airport 0755am. Bye bye KQ
SAA wanarejea kwa Kasi jijini Dar (JNIA) kuondoka 0510am kufika OR Tambo International airport 0755am. Bye bye KQ
Shukrani bossMasaa matatu tu.
KQ wana nafuu gani? Bora useme Malawian airlinesNauli yao utaiweza? Weka akiba ya maneno mnyambi.
Usijali jobless kwanza airline za waafrika hawajui kutoa service nzuriMajobless tuna comment wapi
Umewahi kupanda Malawian airlines wanavyojitahidi kwenye misosi?Usijali jobless kwanza airline za waafrika hawajui kutoa service nzuri
ATCL mbona wanaenda Johannesburg kila siku siku hizi.South African Airways (SAA) wanarejea Dar (JNIA) kuondoka Far-JNIA 0510am kufika OR Tambo International airport 0755am. Bye bye KQ
Wewe bwana nakwambia hivi ndege ya mwafrika service ni hovyo....hapo huniambii kituUmewahi kupanda Malawian airlines wanavyojitahidi kwenye misosi?