South African Government Minister Jackson Mthembu dies of Covid-19

South African Government Minister Jackson Mthembu dies of Covid-19

kwa sababu wanahangaika na chanjo mpaka kufungia wengine.

imani ni kuwa na uhakika wa yatarajiwayo,kama mjuba stone himself.
Kwani enzi za Yesu si kulikuwa na watu walikuwa wanahangaika na maradhi kwa kutafuta dawa mbalimbali lakini kumbe na imani walikuwa nayo pia na ndiyo maana wakawa wanaponywa na Yesu?
 
Huu ugonjwa ni balaa, ila Tanzania tumeushinda kwa maombi kwasababu sisi ni special sana kwa Mwenyezi Mungu!!!!!!
Kwani ili ukubaliwe maombi ni lazima uwe special?mbona maandiko yanatuambia tuombe na tutajibiwa hayasemi watu maalumu ndio watajibiwa.
 
Back
Top Bottom