Wewe ni mjinga sana, sisi hatukithamini kabisa kiingereza, ngoja nikuambie ukweli, Kenya mnavyokithamini na kukiheshimu kiingereza, ndivyo Tanzania tunavyo kiheshimu na kukithamini Kishwahili, mnavyokipuuza na kukidharau Kiswahili, ndivyo tunavyokipuuza kiingereza huku kwetu.
Ninyi bado hamjapata Uhuru kamili, dunia nzima inalijua hilo, ninyi mlipata uhuru wa bendera pekee, lakini uchumi, fikra na utamaduni bado mnatawaliwa na wazungu, hata huku Tanzania bado wapo wachache ambao bado wanakiheshimu na kukithamini kiingereza kama ninyi huko Kenyat