The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Ok , hila saints wamejitahidi kumentain , zamani walikuwa wanashuka na kupanda daraja wao na jamaa zao wa south coast ( portmouth) , nafikiri liver wanaogopa hasara kuchukua mchezaji mgeni kabisa wa ligi wa pesa kubwa , hii issue iliwapataga liver kwa sean dundeeKuna makala Moja nimeona gazeti la Mwanaspoti kama sikosei la jana linazungumzia hili jambo Liva kumfanya Soton kichaka chake.
Thats true, saints wanaleta mpaka makocha na kuwauza , eg pochetino, koeman , etcIla Niasse naona kama ana uzito flani ila nguvu anazo Big Sam kaja na mabadiliko na kaikuta timu ina michezo migumu kweli ila nahisi hicho kikombe atakivuka salama,Koeman angekuwepo mpaka leo timu ingekua kule kwa kina Swansea.
Na kweli tumeona wakali wengi sana kutoka ligi nyingine wakija pale na kuchemka mateja Kezman,Kagawa,Robinho,ila Salah kamaster mchezo vizuri.Ok , hila saints wamejitahidi kumentain , zamani walikuwa wanashuka na kupanda daraja wao na jamaa zao wa south coast ( portmouth) , nafikiri liver wanaogopa hasara kuchukua mchezaji mgeni kabisa wa ligi wa pesa kubwa , hii issue iliwapataga kwa liver kwa sean dundee
Ok , hila saints wamejitahidi kumentain , zamani walikuwa wanashuka na kupanda daraja wao na jamaa zao wa south coast ( portmouth) , nafikiri liver wanaogopa hasara kuchukua mchezaji mgeni kabisa wa ligi wa pesa kubwa , hii issue iliwapataga liver kwa sean dundee
Romelo namjua alikuwa chelsea , salah alikuwa chelsea , wakamuuza kwa roma then liver , siku nyingi liver walimtaka salah sema mourhino aliwafanyia makusudi kuwaujumu, kezman, the tiger ( yuko monaco) , veron, etc walichemka , unajua timu nyingine yenye scouting nzuri sana ni chelsea , tatixo wacheza wakija chelsea hawatumiki ipasavyo wanaamua kuondokaNa kweli tumeona wakali wengi sana kutoka ligi nyingine wakija pale na kuchemka mateja Kezman,Kagawa,Robinho,ila Salah kamaster mchezo vizuri.
Next time utasikia gabbiadini ndani ya Liva kuna kijana mmoja pale soton watu hawamuoni ila anaibeba ile timu sana Ariel ROMelo alikipiga hata chelsea
Luke shaw naye katoka saintsUmenikumbusa wapo vizuri basi la msingi wapigane wasishuke daraja.
Mie nikajuwa wengi hata 50, kumbe 3sio liver tu wachezaji wengi wametoka kwenye accademy ya soton mfano
Bale
Walcoth
Chamberlain
Chambers
wapo wengi sema wengne sija waorodhesha apoMie nikajuwa wengi hata 50, kumbe 3
Kuna mtu anaitwa Lemina, ndo Ngolo Kante wao !Na kweli tumeona wakali wengi sana kutoka ligi nyingine wakija pale na kuchemka mateja Kezman,Kagawa,Robinho,ila Salah kamaster mchezo vizuri.
Next time utasikia gabbiadini ndani ya Liva kuna kijana mmoja pale soton watu hawamuoni ila anaibeba ile timu sana Ariel ROMelo alikipiga hata chelsea