Soviet Union (ussr) sasa Urusi nchi kwanza kurusha chombo anaga zambali na nchi ya kwanza kutuma chombo mwezini

Soviet Union (ussr) sasa Urusi nchi kwanza kurusha chombo anaga zambali na nchi ya kwanza kutuma chombo mwezini

I_manyota

Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
48
Reaction score
44
Unajua vita kuu ya pili ya dunia Warusi na Wamarekani walifanya wizi flani ambao mpaka sasa i can tell you ndio unawapa jeuri hawa washenzi.
Hilter ujueri wake ndio uliompoza ila kimsingi jamaa alikua mbali sana katika mambo ya teknolijia hasa kwenye mambo ya silaha hizi, sema ndio vile ukijiona mjuaji kuna wajuaji zaidi yako na wanakutegea ujae kwenye kumi na nane zao wakunyooshe ndicho kilichwakuta wajerumani wanazi during second world war.

Baada ya ile vita kuisha Ussr na USA wajinga hawa waligawana vitu, trust me kuna documentary flani inarushwaga NATGEO sorry jina lake nimesahau nikikumbuka nitaweka hapa.Inasemekana hawa wakubwa wawili waliondoka na makabrasha huku kila mtu akisepa na wanasanyasi ambao walikua wakifanya research mbalimbali na kutengenza silaha nzito nzito for future use, na wengi wao walikua kizuizini sababu hilter hakutaka kabisa hao watu wawe exposed so alichofanya ni kuwaficha kwenye research center zake nying zilikua underground. wale waliofanikiwa kunusurika na balaa lile wengine walisepa Urusi kipindi ussr wengine wakaenda Marekani.
Sasa hiyo achana nayo, sio jambo letu nilikua nafanya reboot system 😁 😁 .


Luna 1 hichi ndicho chombo cha kwanza kurushwa angani wazee, warusi walifanya hiyo kitu miaka ya 1959, sema hiki kilifeli kiliishiwa charge na kupoteza signal milele inasemeka kipo somewhere around sun and earth watu wenye science yao wanajua vizuri hayo majina.
,
RIAN_archive_510848_Interplanetary_station_Luna_1_-_blacked.jpg













Jamaa waliendela kurusha vidude tu na kuvunja records mpaka pale waliporusha ambacho hichi ndio kilikua chombo cha kwanza kufika mwezini Luna 9 1966 miaka mitatu baadae Marekani wanapeleka chombo kikiwa na mtu ndani na kuvunja rekodi.
800px-Luna_9_Musee_du_Bourget_P1010505.jpg

Mpaka inafikia hatua wamarekani wanapeleka chombo kikiwa na mtu ndani Appolo 11 hawa wajuba washarusha vidude kibao sasa najiuliza walikua hawana mpango huo au basi tu, maana hata hao wamarekani ilibidi NASA kuomba material flani flani kutoa USSR ilibidi siasa ikae kando iachwe science ifanye kazi yake. Maana jiulize tangu warusi waanze kurusha hivyo vidude imewachukua miaka mingapi USA kufanya hivyo 😂 sema wajinga wana kelele kama mashabiki wa Man UTD vile 😂😂
 
Baada ya Hao USA ikabidi waingie Hollywood kutengeneza/kuedit clip eti na wao wanatua mwezini
 
Tuko upande wa Nchi za Magharibi,habari zetu zote nzuri na mbaya tunazisikia kutoka kwenye media za nchi za Magharibi zikiongozwa na Marekani..

Nchi yenye ukubwa wa Ardhi ni duniani Urusi

nchi yenye teknologi kubwa ni Urusi, nchi tajiri ni Urusi..

Nchi ya mwanzo kuzalisha Almasi nyinyi Duniani ni Urusi

Urusi inajitosheleza na kila kitu,Wana Mafuta ya kutosha nk

Chombo au tuseme Nyumba kubwa inayoelea angani,wanasayansi wa dunia wanakwenda kufanya tafiti zao,kinaitwa MIR2, Ni teknologi ya kirusi,..

Wamarekani na Washirika wake wameshindwa kuimaster Hiyo technology....

Sasa anae ifanananisha Urusi na Uturuki haijui Urusi huyo
 
Unafahamu chochote kuhusu ISS?
International Space Station= ISS..

Hicho ni chombo kinachoelea angani "Space station",kiliundwa na technologia ya Kirusi

Warusi walikifanya hichi chombo kielee angani ..

mataifa mengine yakiwemo Marekani na Washirika wake,wakaunga unga vifaa vyao ili wafanye tafiti zao..
 
Unajua vita kuu ya pili ya dunia Warusi na Wamarekani walifanya wizi flani ambao mpaka sasa i can tell you ndio unawapa jeuri hawa washenzi.
Hilter ujueri wake ndio uliompoza ila kimsingi jamaa alikua mbali sana katika mambo ya teknolijia hasa kwenye mambo ya silaha hizi, sema ndio vile ukijiona mjuaji kuna wajuaji zaidi yako na wanakutegea ujae kwenye kumi na nane zao wakunyooshe ndicho kilichwakuta wajerumani wanazi during second world war.

Baada ya ile vita kuisha Ussr na USA wajinga hawa waligawana vitu, trust me kuna documentary flani inarushwaga NATGEO sorry jina lake nimesahau nikikumbuka nitaweka hapa.Inasemekana hawa wakubwa wawili waliondoka na makabrasha huku kila mtu akisepa na wanasanyasi ambao walikua wakifanya research mbalimbali na kutengenza silaha nzito nzito for future use, na wengi wao walikua kizuizini sababu hilter hakutaka kabisa hao watu wawe exposed so alichofanya ni kuwaficha kwenye research center zake nying zilikua underground. wale waliofanikiwa kunusurika na balaa lile wengine walisepa Urusi kipindi ussr wengine wakaenda Marekani.
Sasa hiyo achana nayo, sio jambo letu nilikua nafanya reboot system [emoji16] [emoji16] .


Luna 1 hichi ndicho chombo cha kwanza kurushwa angani wazee, warusi walifanya hiyo kitu miaka ya 1959, sema hiki kilifeli kiliishiwa charge na kupoteza signal milele inasemeka kipo somewhere around sun and earth watu wenye science yao wanajua vizuri hayo majina.
,View attachment 1626419












Jamaa waliendela kurusha vidude tu na kuvunja records mpaka pale waliporusha ambacho hichi ndio kilikua chombo cha kwanza kufika mwezini Luna 9 1966 miaka mitatu baadae Marekani wanapeleka chombo kikiwa na mtu ndani na kuvunja rekodi.
View attachment 1626425
Mpaka inafikia hatua wamarekani wanapeleka chombo kikiwa na mtu ndani Appolo 11 hawa wajuba washarusha vidude kibao sasa najiuliza walikua hawana mpango huo au basi tu, maana hata hao wamarekani ilibidi NASA kuomba material flani flani kutoa USSR ilibidi siasa ikae kando iachwe science ifanye kazi yake. Maana jiulize tangu warusi waanze kurusha hivyo vidude imewachukua miaka mingapi USA kufanya hivyo [emoji23] sema wajinga wana kelele kama mashabiki wa Man UTD vile [emoji23][emoji23]
Tuko upande wa Nchi za Magharibi,habari zetu zote nzuri na mbaya tunazisikia kutoka kwenye media za nchi za Magharibi zikiongozwa na Marekani..

Nchi yenye ukubwa wa Ardhi ni duniani Urusi

nchi yenye teknologi kubwa ni Urusi, nchi tajiri ni Urusi..

Nchi ya mwanzo kuzalisha Almasi nyinyi Duniani ni Urusi

Urusi inajitosheleza na kila kitu,Wana Mafuta ya kutosha nk

Chombo au tuseme Nyumba kubwa inayoelea angani,wanasayansi wa dunia wanakwenda kufanya tafiti zao,kinaitwa MIR2, Ni teknologi ya kirusi,..

Wamarekani na Washirika wake wameshindwa kuimaster Hiyo technology....

Sasa anae ifanananisha Urusi na Uturuki haijui Urusi huyo
Kilichoiharibia USSR ni siasa kama zetu hizi za ki communist. Miungano isiyo na tija kama wetu huu. Siasa zetu hizi za kutukuza viongozi au chama tawala ndiyo vimeidunisha Urusi mbele ya ulimwengu kulinganisha na mataifa ya magharibi. Na si USSR peke yake angalia mataifa mawili ya Korea utapata jibu

Ni kweli upande wa ki science na kivita ussr wapo juu lakini technology yao imebaki kwao wenyewe.

Pili ni wabaguzi kuliko hata hao wa magharibi. Tafuta maelezo kwa waliofika huko Russia .
 
International Space Station= ISS..

Hicho ni chombo kinachoelea angani "Space station",kiliundwa na technologia ya Kirusi

Warusi walikifanya hichi chombo kielee angani ..

mataifa mengine yakiwemo Marekani na Wahisani zake,wakaunga unga vifaa vyao ili wafanye tafiti zao..
naifahamu mkuu
 
Kilichoiharibia USSR ni siasa kama zetu hizi za ki communist. Miungano isiyo na tija kama wetu huu. Siasa zetu hizi za kutukuza viongozi au chama tawala ndiyo vimeidunisha Urusi mbele ya ulimwengu kulinganisha na mataifa ya magharibi. Na si USSR peke yake angalia mataifa mawili ya Korea utapata jibu

Ni kweli upande wa ki science na kivita ussr wapo juu lakini technology yao imebaki kwao wenyewe.

Pili ni wabaguzi kuliko hata hao wa magharibi. Tafuta maelezo kwa waliofika huko Russia .
Kweli, Siasa zimewaharibia lakini ukumbuke haya mambo ya kiteknologia wanayo tangu enzi za Soviet Union..

Warusi bado wako juu,North Korea, Mchina asingeliweza kujidai bila Mrusi..
Mrusi anazisaidia sana hizi nchi kiteknologia ikiwemo Iran
 
Kweli, Siasa zimewaharibia lakini ukumbuke haya mambo ya kiteknologia wanayo tangu enzi za Soviet Union..

Warusi bado wako juu,North Korea, Mchina asingeliweza kujidai bila Mrusi..
Mrusi anazisaidia sana hizi nchi kiteknologia ikiwemo Iran
Juu unayoizungumzia ni ipi ?!
Kama ni ki maisha sidhani kama wako juu ya nchi za magharibi. Hata sisi hapa hujidai tuko juu kulinganisha na majirani, lakini ukweli wake ni kinyume.
Na kama ni ki technology nimesema sawa Lakini wamebaki nayo wenyewe. Hata lugha ya kujifunzia hiyo ya Russia ni ya kienyeji.

Kwa ujumla u communist ni nduguye u dictator. Siiuhusudishi hata kidogo . The same na Tz
 
Juu unayoizungumzia ni ipi ?!
Kama ni ki maisha sidhani kama wako juu ya nchi za magharibi. Hata sisi hapa hujidai tuko juu kulinganisha na majirani, lakini ukweli wake ni kinyume.
Na kama ni ki technology nimesema sawa Lakini wamebaki nayo wenyewe. Hata lugha ya kujifunzia hiyo ya Russia ni ya kienyeji.

Kwa ujumla u communist ni nduguye u dictator. Siiuhusudishi hata kidogo . The same na Tz
Maisha ya nchi za Magharibi yako juu kutokana na mfumo wao,Nimekusudia Urusi iko juu kiteknologia na kiuchumi

Maisha ya kikomunisti ni ya mashaka mashaka,Nchi za kikomunisti wanaofaidi keko ya nchi ni wale walioko kwenye Chama..
 
Back
Top Bottom