Life Is Not Fairalafu kuna mashenzi yanaanzisha uzi wakidai Raisi hausiki na maisha magumu ya watanzania, mara katiba hajawahi kuwa kikwazo, kuna mijitu ikishakula pesa za rushwa kutoka ccm haina huruma kabisa
Hapa nilipo mahindi 400 kwa kg na sh 100 mbaazi kwa kgNipe bei ya soya, mbaazi na Mahindi ili nikushauri kuhusu soko!
Soya 1500 kilo, mbaazi mungu jalia hata mteja wa 1000 akipatikana nauza nipe hilo soko mkuuNipe bei ya soya, mbaazi na Mahindi ili nikushauri kuhusu soko!