Wakuu habari.
Huku nikiwa nalia na mbaazi ndani , bado naangalia soya inavoozea ndani, na bado naangalia mahindi bei ilivo chini ambapo ukiuza gunia mbili ndio unapata mfuko mmoja wa mbolea naomba watu wa serikali mvae viatu vyetu wakulima muone kama mtafurahi, mnaudhi sana muda mwingine, tujengeeni chuki na sisi tutawalipa chuki uvumilivu unamwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku nikiwa nalia na mbaazi ndani , bado naangalia soya inavoozea ndani, na bado naangalia mahindi bei ilivo chini ambapo ukiuza gunia mbili ndio unapata mfuko mmoja wa mbolea naomba watu wa serikali mvae viatu vyetu wakulima muone kama mtafurahi, mnaudhi sana muda mwingine, tujengeeni chuki na sisi tutawalipa chuki uvumilivu unamwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app