Spain mpira ni magoli , mambo ya chenga twawala yatawaponza.

Spain mpira ni magoli , mambo ya chenga twawala yatawaponza.

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mnacheza na timu nzuri mno ! Hakika leo wazee wa kubeti wanaelekea kuliwa tena .

Uzuri wa La Liga unaonogeshwa na Ronaldo na Messi hauwezi kuwabeba , hawa ni watu wa mataifa mengine , nguo ya kuazima hasitiri mwili .

Kosa moja kubwa na ambalo mtalijutia ni kumwacha benchi mkongwe Iker Casillas na kuamua kumjaribu De Gea , hizo si game za majaribio .

Hivi timu kama Czech Republic ni ya kuifanyia majaribio ?

Majuto ni mjukuu .
 
Back
Top Bottom