Under 21 wachukua Euro 2011. CL iko kwao, Euro kwao. World cup kwao. Natamani Tanzania ingekuwa SPAIN.
Hii timu ya under 21ya spain kuna wachezaji sita wa barcelona. Hii inatisha hapo ndio waingereza wanachoka. Wamejiandaa kwa muda mrefu na hatimaye wamezaa matunda.
Hii timu ya under 21ya spain kuna wachezaji sita wa barcelona. Hii inatisha hapo ndio waingereza wanachoka. Wamejiandaa kwa muda mrefu na hatimaye wamezaa matunda.