Spartakas karudi mjengoni salamu kwa Lusungo

Spartakas karudi mjengoni salamu kwa Lusungo

We muarabu ushaamka mara hii? Au leo huko na shemeji nn!!

Ugomvi wa Nyani unaujua wewe?

Nimelala kwa raha zangu miee eee yeye ndie chanzo cha umesahau asingeanzisha uzi yangetokea hayaa ngoja akija mim na yeye ligii akasema kibeba box mi namchana kiarabu tu
 
Nimelala kwa raha zangu miee eee yeye ndie chanzo cha umesahau asingeanzisha uzi yangetokea hayaa ngoja akija mim na yeye ligii akasema kibeba box mi namchana kiarabu tu

Qwi qwi qwi whwaaaaaaaaaaaaa yani unawaza league mapema hivi
 
lusungo wapi? Atakuwa anatoa denda tu mida hii maana kalala sa 10 dah huyu mnyalu ananifurahisha sana
 
Last edited by a moderator:
Mi wala sikufurahii nakucheka kwa dharau tuuu.....

Unahangaika na furushi la ID kibaao kama mtoto....

Ungekua mtafutaji usingeacha furushi la ID nyingi likuelemee namna hiyo...

Eeeeee taratibu hatupumui banaa hampuzikiii mbona mnatuchafulia uzi siee banaa basi kafungueni uzi wenu mbaki nyie wawili tu kama ni raha au huon mada hapo kwenye kichwaa cha habari !!!
 
Back
Top Bottom