Spartakas karudi mjengoni salamu kwa Lusungo

Naona watoto mnacheza gololi, mdako, makidamakida...

Akija yule rafiki yangu wa hapo mtaa wa pili, mwambieni mimi kaka yenu nipo ndani nacheza kombolela ya kikubwa na shemeji yake...

Mkuu naomba uniunge mkono katika programme yangu ya kufukuza watoto humu waende shule
 
Hahhhhahhhhahhhahha umeandikiwa kibeba box wacha weee si bora tuendelee na mim tu naandika kiswahilio
hahahaaaa!!! mi nilijua kilatini...!!

haya, the return of ze ... ntarudi! lols!

ntagecha mtu muda si mrefu kulaleki! ngojeni tu!
 
hahahaaaa!!! mi nilijua kilatini...!!

haya, the return of ze ... ntarudi! lols!

ntagecha mtu muda si mrefu kulaleki! ngojeni tu!

The Return of .......... UWIIIIIIIIIIII kelele za churaaa tu
 
mimi sio mkaaji jamani, leo siku ya gulio, nimepita tu kumsalimia ICHANA nasikia jana usiku kateguka kiuno wakati wa mtanange na shemeji yetu
 
Role of model who? Your persona non grata to me to carry such weight I just mentioned you as the part of the group. Did
you see after your comment on of your protégée came out of closet?

Jembe langu Spartakas tumekumiss kujadili katiba njoo haraka kule ukashushe nondo, ukiwa kifungoni Jk katukana Tume ya Warioba, Zanzibar wamejitangazia nchi, Lowassa katoa noti mpya za 50,000 zenye sura yake, Tume ya Warioba imevunjwa kinyamela, Tanzania sasa hizi ni nchi mbili serikali mbili badala ya nchi moja serikali mbili na TB Joshua alitabiri Malaysia Airline 370 kupatikana Newala. Njoo kamanda mambo mengi sana ila kwa sasa ni katiba nafurahi kujua na huku unapitapita
 

Una akili sanaa wanaume wapo kama wewe chukua likee
 
mimi sio mkaaji jamani, leo siku ya gulio, nimepita tu kumsalimia ICHANA nasikia jana usiku kateguka kiuno wakati wa mtanange na shemeji yetu

Ha ha ha mzima wewe...ulijueje??? Sema ukwel
 
loooh! mwanamke mzururaji wewe!!

mambo gani hayo ya kunichungulia mi na madame b!

afu usimuite bana, sio vizuri....! lols!

Heeeee kila idara nipo ndio kazi yangu kuchangia kila thread natafuta umaarufu kwa nguvu zotee hahhhhahhhahhha nasikia ulikimbia na boxer hahhha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…