Spartakas karudi mjengoni salamu kwa Lusungo

Spartakas karudi mjengoni salamu kwa Lusungo

Am no body siko JF kutafuta ushirika na yeyote, sijui ndio mnapeana promo ya majina mimi sijui hilo huna tofauti na Billy Malecela wakati akiwa America kila alipishana naye misimamo basi alijifanya anamjuwa na ni Family member wa Ngwilulupi.

Boy take your time sikujui hunijui na sihitaji kujuwana na yeyote kwenye forum hii.

Nitake kukujua kwa lipi na kwa kipi?

Mi sina mda mchafu wa kutafuta hasara ya kujuana...

Naona povu lakutoka kutumwa salamu hahahah

Sihitaji kujua hata jina lako ila nisalimie akina matola na billionaire pitgan hahahah

Au hutaki nimtume mwingine?
 
Nitake kukujua kwa lipi na kwa kipi?

Mi sina mda mchafu wa kutafuta hasara ya kujuana...

Naona povu lakutoka kutumwa salamu hahahah

Sihitaji kujua hata jina lako ila nisalimie akina matola na billionaire pitgan hahahah

Au hutaki nimtume mwingine?

Hahhhhahhhahhaha nitume mimii
Ila unipe pesa situmwi bureee
 
Unapomkosoa mwenzako ni busara na wewe usiingize mzaha kwenye andiko lako maana English haiwezi kuwa englisiii.

Aaaah hivi kumbe nimekosea nahisi itakuwa typing error si unajua ni usiku sasa hivi
 
Nitake kukujua kwa lipi na kwa kipi?

Mi sina mda mchafu wa kutafuta hasara ya kujuana...

Naona povu lakutoka kutumwa salamu hahahah

Sihitaji kujua hata jina lako ila nisalimie akina matola na billionaire pitgan hahahah

Au hutaki nimtume mwingine?
Mimi ni mesenja hapa JF? kama una hamu nao pm ni ya kazi gani hapa? au ndio uko hapa kuprovoc watu halafu ukimbilie kwa mods? grow up acha tabia za kishamba na ushuleshule.
 
Mimi ni mesenja hapa JF? kama una hamu nao pm ni ya kazi gani hapa? au ndio uko hapa kuprovoc watu halafu ukimbilie kwa mods? grow up acha tabia za kishamba na ushuleshule.


Kwani kaka mbona unayakuza wakati madogo tu?

Si ungetaa tu kama hutaki? siku hizi kuna satellite Kali hata ukilala inakumulika kama hujui muulize Remote halafu ruksa ya kutoka jela na kuja kuzurura anakupa nani?
 
Last edited by a moderator:
Kuna tofauti kubwa ya matumizi kati ya **your*** na **you are *** naona kwa ufahamu wako finyu hujagundua lolote ndio maana ukasema namuonea donge...

kuhusu kuelewa hapo ndo huaribiwa na hayo makosa maana maneno yakitumika visivyo huleta maana tofauti au hujui?

You are too low!!

I'm not here to make headlines neither to dispute your perception nor to criticize you but to air my view, kuhusu kiingereza usibeze mtu kwa matumizi ya yours na you are kwa kusema hajaenda shule these are common mistakes used by even highly educated people including Affect vs effect, their, they are and there, fewer vs less and your vs you are these are common mistakes you will often see people's social media profiles nk as long sio mtihani sioni issue hapa hata wewe hukuona unafanya errors kwa kiingereza na Kiswahili one hour ago umekosea kuandika dharau. I don't see big issue at all
 
Back
Top Bottom