Spears utaagiza online ama Dubai.

Spears utaagiza online ama Dubai.

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Hii ni mojawapo ya kauli ama ushauri wa kipumbavu sana hua unatolewa humu JF magari kwa mtu anaetaka kununua gari.

Mtu anamshauri mtu anunue gari halafu spear atakua anaagiza online ama Dubai.

Watu wengi wanaokuja humu kuomba ushauri wa kununua gari mara nyingi hua ndio gari yao ya kwanza, hivyo hana uzoefu wa gari yoyote, ndio anataka aanze kuonja ladha ya gari halafu anaambiwa nunua gari yoyote, akiuliza spear anaambiwa ataagiza online baada ya wiki 2 ama 3 zimefika.

Ushauri wa kununua gari ambayo spear zake utaagiza online unapaswa kutolewa kwa watu ama pre conditions za kua na gari ambayo spear zake huwezi kuzipata kwa urahisi katika mazingira yako hadi uagize online, kwanza, hiyo gari isiwe primary car yako, kwa maana kwamba isiwe ndio gari pekee unayotumia kwenye shughuli zako za msingi, kwamba ikiharibika, wakati unasubiria spear kutoka Dubai shughuli zako hazikwami. Kwa msingi huo ni lazima uwe na gari zaidi ya moja, unaendelea na mishe zako kama kawaida huku ukisubiri spear kutoka online ama popote ulipoagiza.

Kumiliki gari ambayo ikipata mushkeli, unarudi kwenye daladala huku ukisubiria spear itoke Dubai ama China kwa wiki 2 ama 3 hizo sio akili, ni matope.

Kwenye gari, nunua gari ambayo ni convenient kwako, kwa maana haikupi usumbufu wala kukupoteza muda mwingi kwenye kuirudisha katika hali yake ya awali baada ya kua imepata mushkeli.
 
Spares ✅️
Spears ❌️

Acha watu waendeshe magari ya ndoto zao, kama mtu aliimport gari iweje aki import vipuri ionekane kitu cha ajabu!

Muhimu ni mtu awe na uwezo wa kifedha na ajue namna ya kukipata kitu anachokihitaji kwa wakati...
 
Hii ni mojawapo ya kauli ama ushauri wa kipumbavu sana hua unatolewa humu JF magari kwa mtu anaetaka kununua gari.

Mtu anamshauri mtu anunue gari halafu spear atakua anaagiza online ama Dubai.

Watu wengi wanaokuja humu kuomba ushauri wa kununua gari mara nyingi hua ndio gari yao ya kwanza, hivyo hana uzoefu wa gari yoyote, ndio anataka aanze kuonja ladha ya gari halafu anaambiwa nunua gari yoyote, akiuliza spear anaambiwa ataagiza online baada ya wiki 2 ama 3 zimefika.

Ushauri wa kununua gari ambayo spear zake utaagiza online unapaswa kutolewa kwa watu ama pre conditions za kua na gari ambayo spear zake huwezi kuzipata kwa urahisi katika mazingira yako hadi uagize online, kwanza, hiyo gari isiwe primary car yako, kwa maana kwamba isiwe ndio gari pekee unayotumia kwenye shughuli zako za msingi, kwamba ikiharibika, wakati unasubiria spear kutoka Dubai shughuli zako hazikwami. Kwa msingi huo ni lazima uwe na gari zaidi ya moja, unaendelea na mishe zako kama kawaida huku ukisubiri spear kutoka online ama popote ulipoagiza.

Kumiliki gari ambayo ikipata mushkeli, unarudi kwenye daladala huku ukisubiria spear itoke Dubai ama China kwa wiki 2 ama 3 hizo sio akili, ni matope.

Kwenye gari, nunua gari ambayo ni convenient kwako, kwa maana haikupi usumbufu wala kukupoteza muda mwingi kwenye kuirudisha katika hali yake ya awali baada ya kua imepata mushkeli.
Mkuu, hao jamaa wanaonunua gari la kwanza huwezi kuwashauri otherwise. Wakishapenda gari wamependa.
 
Vipi na wale ambao gari tena Toyota insharibika anapaki anarudi kwenye daladala mpaka apate hela nao ni wapumbavu? Trust me wako wengi sana.
Wao ni wapumbavu zaidi.

Toyota hata vichanani unaoata spares na mafundi.

Mwaka juzi nilishiriki kupeleka msiba wa jamaa yangu nyumbani kwao, alikua kafiwa na mkewe, pale bush baadae nikaenda kununua vinywaji senta/centre ambako kuna maduka, nimefika na gari vizuri tu, nikaegesha kisha nikaenda Dukani kufanya manunuzi.

Nimemaliza manunuzi nawasha gari inagoma kuwaka, pale jirani alikuwepo jamaa ni fundi cherehani, akaja akaifungua na kuirekebisha fuse zilikua zimeungua na gari ikarudi road kama kawaida.

Huko ni kijijini kweli kweli lakini nikakuta mafundi wa Toyota wapo.

Mtu wa hivyo basi hakustahili kua na gari. Kipato chake hakimruhusu kua na gari. Anastahili bodaboda kwanza.
 
Hii ni mojawapo ya kauli ama ushauri wa kipumbavu sana hua unatolewa humu JF magari kwa mtu anaetaka kununua gari.

Mtu anamshauri mtu anunue gari halafu spear atakua anaagiza online ama Dubai.

Watu wengi wanaokuja humu kuomba ushauri wa kununua gari mara nyingi hua ndio gari yao ya kwanza, hivyo hana uzoefu wa gari yoyote, ndio anataka aanze kuonja ladha ya gari halafu anaambiwa nunua gari yoyote, akiuliza spear anaambiwa ataagiza online baada ya wiki 2 ama 3 zimefika.

Ushauri wa kununua gari ambayo spear zake utaagiza online unapaswa kutolewa kwa watu ama pre conditions za kua na gari ambayo spear zake huwezi kuzipata kwa urahisi katika mazingira yako hadi uagize online, kwanza, hiyo gari isiwe primary car yako, kwa maana kwamba isiwe ndio gari pekee unayotumia kwenye shughuli zako za msingi, kwamba ikiharibika, wakati unasubiria spear kutoka Dubai shughuli zako hazikwami. Kwa msingi huo ni lazima uwe na gari zaidi ya moja, unaendelea na mishe zako kama kawaida huku ukisubiri spear kutoka online ama popote ulipoagiza.

Kumiliki gari ambayo ikipata mushkeli, unarudi kwenye daladala huku ukisubiria spear itoke Dubai ama China kwa wiki 2 ama 3 hizo sio akili, ni matope.

Kwenye gari, nunua gari ambayo ni convenient kwako, kwa maana haikupi usumbufu wala kukupoteza muda mwingi kwenye kuirudisha katika hali yake ya awali baada ya kua imepata mushkeli.

Hapa message ni “tafuta hela umiliki gari za ndoto zako”

Kama huna nunua Toyota waache mba mbamba[emoji23]
 
Mtu anamshauri mtu anunue gari halafu spear atakua anaagiza online ama Dubai.
.... nunua gari yoyote, akiuliza spear anaambiwa ataagiza online baada ya wiki 2 ama 3 zimefika.

Ushauri wa kununua gari ambayo spear ...kwamba ikiharibika, wakati unasubiria spear kutoka Dubai shughuli zako hazikwami. Kwa msingi huo ni lazima uwe na gari zaidi ya moja, unaendelea na mishe zako kama kawaida huku ukisubiri spear kutoka online ama popote ulipoagiza.
Maisha yanakwenda kasi sana, mikuki inahusiana vipi na magari kwa technology ya sasa
 
Back
Top Bottom