Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,323
Adidas wakasema “impossible is nothing” 😅Humu bongo kuna watu wana uthubutu wa hali ya juu.
Kuna gari ukiziona mpaka unajiuliza huyu jamaa anapata wapi ujasiri wa kuwa na gari kama hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adidas wakasema “impossible is nothing” 😅Humu bongo kuna watu wana uthubutu wa hali ya juu.
Kuna gari ukiziona mpaka unajiuliza huyu jamaa anapata wapi ujasiri wa kuwa na gari kama hii.
Hivi kama gari ikiharibika ni lazima Spare uipate siku hiyohiyo na ifungwe siku hiyo hiyo, yaani gari lisipaki kusubiri spare halisi na inayofaa?Hii ni mojawapo ya kauli ama ushauri wa kipumbavu sana hua unatolewa humu JF magari kwa mtu anaetaka kununua gari.
Mtu anamshauri mtu anunue gari halafu spear atakua anaagiza online ama Dubai.
Watu wengi wanaokuja humu kuomba ushauri wa kununua gari mara nyingi hua ndio gari yao ya kwanza, hivyo hana uzoefu wa gari yoyote, ndio anataka aanze kuonja ladha ya gari halafu anaambiwa nunua gari yoyote, akiuliza spear anaambiwa ataagiza online baada ya wiki 2 ama 3 zimefika.
Ushauri wa kununua gari ambayo spear zake utaagiza online unapaswa kutolewa kwa watu ama pre conditions za kua na gari ambayo spear zake huwezi kuzipata kwa urahisi katika mazingira yako hadi uagize online, kwanza, hiyo gari isiwe primary car yako, kwa maana kwamba isiwe ndio gari pekee unayotumia kwenye shughuli zako za msingi, kwamba ikiharibika, wakati unasubiria spear kutoka Dubai shughuli zako hazikwami. Kwa msingi huo ni lazima uwe na gari zaidi ya moja, unaendelea na mishe zako kama kawaida huku ukisubiri spear kutoka online ama popote ulipoagiza.
Kumiliki gari ambayo ikipata mushkeli, unarudi kwenye daladala huku ukisubiria spear itoke Dubai ama China kwa wiki 2 ama 3 hizo sio akili, ni matope.
Kwenye gari, nunua gari ambayo ni convenient kwako, kwa maana haikupi usumbufu wala kukupoteza muda mwingi kwenye kuirudisha katika hali yake ya awali baada ya kua imepata mushkeli.
Kuna zile London Tax nimeiona hapa Tz.Mfano?
Hata ukipeleka gari kwa authorized dealer lazima utapewa timeframe ya siku ya kuchukua gari yako.Hii ni mojawapo ya kauli ama ushauri wa kipumbavu sana hua unatolewa humu JF magari kwa mtu anaetaka kununua gari.
Mtu anamshauri mtu anunue gari halafu spear atakua anaagiza online ama Dubai.
Watu wengi wanaokuja humu kuomba ushauri wa kununua gari mara nyingi hua ndio gari yao ya kwanza, hivyo hana uzoefu wa gari yoyote, ndio anataka aanze kuonja ladha ya gari halafu anaambiwa nunua gari yoyote, akiuliza spear anaambiwa ataagiza online baada ya wiki 2 ama 3 zimefika.
Ushauri wa kununua gari ambayo spear zake utaagiza online unapaswa kutolewa kwa watu ama pre conditions za kua na gari ambayo spear zake huwezi kuzipata kwa urahisi katika mazingira yako hadi uagize online, kwanza, hiyo gari isiwe primary car yako, kwa maana kwamba isiwe ndio gari pekee unayotumia kwenye shughuli zako za msingi, kwamba ikiharibika, wakati unasubiria spear kutoka Dubai shughuli zako hazikwami. Kwa msingi huo ni lazima uwe na gari zaidi ya moja, unaendelea na mishe zako kama kawaida huku ukisubiri spear kutoka online ama popote ulipoagiza.
Kumiliki gari ambayo ikipata mushkeli, unarudi kwenye daladala huku ukisubiria spear itoke Dubai ama China kwa wiki 2 ama 3 hizo sio akili, ni matope.
Kwenye gari, nunua gari ambayo ni convenient kwako, kwa maana haikupi usumbufu wala kukupoteza muda mwingi kwenye kuirudisha katika hali yake ya awali baada ya kua imepata mushkeli.
Inatumika kama taxi pia?Kuna zile London Tax nimeiona hapa Tz.
Boss, umekosea kuita watu wapumbavu. Kuagiza vipuri vya magari siyo jambo la ajabu! Na vilevile kama mtu huyo hakuathiri wewe na maisha yako, kuna tatizo gani?Hii ni mojawapo ya kauli ama ushauri wa kipumbavu sana hua unatolewa humu JF magari kwa mtu anaetaka kununua gari.
Mtu anamshauri mtu anunue gari halafu spear atakua anaagiza online ama Dubai.
Watu wengi wanaokuja humu kuomba ushauri wa kununua gari mara nyingi hua ndio gari yao ya kwanza, hivyo hana uzoefu wa gari yoyote, ndio anataka aanze kuonja ladha ya gari halafu anaambiwa nunua gari yoyote, akiuliza spear anaambiwa ataagiza online baada ya wiki 2 ama 3 zimefika.
Ushauri wa kununua gari ambayo spear zake utaagiza online unapaswa kutolewa kwa watu ama pre conditions za kua na gari ambayo spear zake huwezi kuzipata kwa urahisi katika mazingira yako hadi uagize online, kwanza, hiyo gari isiwe primary car yako, kwa maana kwamba isiwe ndio gari pekee unayotumia kwenye shughuli zako za msingi, kwamba ikiharibika, wakati unasubiria spear kutoka Dubai shughuli zako hazikwami. Kwa msingi huo ni lazima uwe na gari zaidi ya moja, unaendelea na mishe zako kama kawaida huku ukisubiri spear kutoka online ama popote ulipoagiza.
Kumiliki gari ambayo ikipata mushkeli, unarudi kwenye daladala huku ukisubiria spear itoke Dubai ama China kwa wiki 2 ama 3 hizo sio akili, ni matope.
Kwenye gari, nunua gari ambayo ni convenient kwako, kwa maana haikupi usumbufu wala kukupoteza muda mwingi kwenye kuirudisha katika hali yake ya awali baada ya kua imepata mushkeli.