Special and SERIOUS ANNOUNCEMENT.

Special and SERIOUS ANNOUNCEMENT.

Joined
Feb 7, 2012
Posts
89
Reaction score
24
Natafuta msichana wa kutoka nae kila mwisho wa mwezi...

SIFA:
1: awe anapatikana dodoma au singda.

2:awe mweupe

3:asiwe mnene /tumbo wala kitambi


4:awe msafi anayenukia na mwenye sura ya mauzo


nb. Niko siriaz.
MAWASILIANO

0786349203.
 
acha utani na dada wa wenzako bhana. kweli wewe dada yako afanywe kiburudisho hivyo utakubali????
 
Natafuta msichana wa kutoka nae kila mwisho wa mwezi...

SIFA:
1: awe anapatikana dodoma au singda.

2:awe mweupe

3:asiwe mnene /tumbo wala kitambi


4:awe msafi anayenukia na mwenye sura ya mauzo


nb. Niko siriaz.
MAWASILIANO

0786349203.

Sifa # 4 (anayenukia), unaweza kupata wenye majini maana ndio wanukiao zaidi. Umakini.
 
Duh! Hii kali sas .........kila mwezi utakuwa unatoka na mwanamke tofauti? Sijaelewa kidogo hapo!
 
kaka kuwa makini huko mchumba wangu yupo singida huko kaenda kusalimia wazazi na ana sifa zote ulizozitaja na zaidi....usituletee uharibifu bana oohoo.....!!
 
nilichelewa kuona hii hadi mwisho wa mwezi tena
 
mzeee vp unangoma nini? kama uko fresh tu poa usiue wa sisters zetu kaka nafikiri umenielewa
 
Back
Top Bottom