Special edition: Spiritual n witchcraft intros

-The Key of Solomon ni balaa na ndio maarufu zaidi

- The Devil's Graveyard

Hiki kitabu hakina Mwandishi, kinahusu ushirikina wa jangwani

Mara ya kwanza kiliandikwa karne ya pili yaani miaka ya 1200's na Mwandishi huyohuyo asiyejulikana

Inasadikiwa kiliandikwa na Aliens waliojenga Pyramid of Giza pamoja na Sanamu za visiwa vya Mashariki (The statue of Eastern Island) vilivyojengwa mwaka 1250
 
Mungu mkuu, Mfalme Suleiman na Ars Goetia (mapepo 72 ya kuzimu) Mungu mkuu, Mfalme Suleiman na Ars Goetia (mapepo 72 ya kuzimu)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makaburi ya Ibilisi ni eneo la jangwa. Makao yake pekee ni kituo kidogo cha mafuta kando ya barabara, na hoteli kubwa, ambapo fainali ya shindano la uimbaji la Back From the Dead inafanyika, ambapo washindani hushindana kwa kuiga nyota zilizokufa. Isipokuwa kwamba mtu anawaua. . .[emoji3064][emoji3064][emoji3064]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tupia pdf kabisa tupite nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…