<br />Owwwkeyyy.....!!!!<br />
<br />
Japo sijaona muungano kati ya kichwa na mwili!!
<br />
<br />
tatizo dadangu Lizzy uko addicted na MMU..
tatizo dadangu Lizzy uko addicted na MMU..
Nikimaliza mfungo naomba nikuvishe pete ya uchumba......Habari tena wanajf..namefanya tathimini,wanajf nimegundua tunamasihara,yani tupo kwa jili ya kupoteza muda.wachache sana utakuta wanaongea serious,jamani mtu mpaka aeleze tatizo lake ni kwamba anahitaj ushauri sio masihara..tujirekebisheni basi.tuwe serious kwa wale wanaotaka ushaur.
Haya tena...hapa napo naona nyota nyota tu!!Tatizo ni nini?!Linahusiana vipi na kilichoandikwa hapo juu?!Kua addicted na MMU kuko vipi?!Umethibitisha wapi kwamba mimi niko addicted?!Na hata kama ningekua addicted kweli tatizo lingekua wapi!!?
Najaribu tu kuelewa...
Wewe uko adiktedi na MMU na ushahidi ni uwepo wako hapa 24/7, 365/366
Habari tena wanajf..namefanya tathimini,wanajf nimegundua tunamasihara,yani tupo kwa jili ya kupoteza muda.wachache sana utakuta wanaongea serious,jamani mtu mpaka aeleze tatizo lake ni kwamba anahitaj ushauri sio masihara..tujirekebisheni basi.tuwe serious kwa wale wanaotaka ushaur.
Haya tena...hapa napo naona nyota nyota tu!!Tatizo ni nini?!Linahusiana vipi na kilichoandikwa hapo juu?!Kua addicted na MMU kuko vipi?!Umethibitisha wapi kwamba mimi niko addicted?!Na hata kama ningekua addicted kweli tatizo lingekua wapi!!?
Najaribu tu kuelewa...
Haya!!
We ulitaka niwe addicted na nini?!
Na mimi
Ili iweje...??
<br />Haya tena...hapa napo naona nyota nyota tu!!Tatizo ni nini?!Linahusiana vipi na kilichoandikwa hapo juu?!Kua addicted na MMU kuko vipi?!Umethibitisha wapi kwamba mimi niko addicted?!Na hata kama ningekua addicted kweli tatizo lingekua wapi!!?<br />
<br />
Najaribu tu kuelewa...
Hasira ulizo ziona ni kama hizi?
Aisee...kweli uwezo wa kuelewa unatofautiana kati ya mtu na mtu!!
Habari tena wanajf..namefanya tathimini,wanajf nimegundua tunamasihara,yani tupo kwa jili ya kupoteza muda.wachache sana utakuta wanaongea serious,jamani mtu mpaka aeleze tatizo lake ni kwamba anahitaj ushauri sio masihara..tujirekebisheni basi.tuwe serious kwa wale wanaotaka ushaur.
ukianzia na zawadi basi mi hapo ndio ushahidi tosha na kuhusu huu uzi ulipo soma tu kichwa cha habari tu ukaanza kufikiria ki MMU zaidi..
Mbona heading na maelezo yako yako tofauti
Ila jua kwamba ukija kimzaha mzaha utaishia kupata majibu ya kimzaha
na within mzaha kuna watu wanakupa point so unaruhusiwa ku9soma na kuchambua pumba na mchele
Ndo unagundua leo hilo?
Ili ule maisha....