Special kwa wadada ........ Dawa imepatikana .......wanaume pia karibuni

SAWEBOY

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2011
Posts
241
Reaction score
174
WAPENDWA WANA JF,

Kwa muda mrefu dada zetu wamekuwa wakilalamika kila siku kuwa ndoa zao zinaenda mrama kwa sababu waume zao au wapenzi wao wamekuwa not responsible hasa ktk 6 x 6. Yaani mume akiwa bwiiiii (cha pombe) hupiga kimoja tu, then akilala huwa fofofo huku mke/mpenzi wake akiwa anataka haki yake ya kungonoka.

Mbaya zaidi wengine hufikia hatua ya kulewa hata kushindwa kuwatimizia wake/wapenzi wao tendo muhimu a.k.a kitombo.

Katika utafiti wangu wa muda mrefu nimefanikiwa kugundua hii dawa ambayo wewe mwanamke unaweza ukamfanyia mume wako na hatimaye akaacha kabisa kunywa pombe na wewe ukawa mtu wa furaha muda wote kwa kufurahia tendo takatifu la kungonoka kutoka kwa mume wako au mpenzi wako. Kama kweli upo ktk tatizo hilo na mumeo au mpenzi wako basi usisite kufanya hili nitakalokushauri ili hatimaye uepukane na adha ambazo unazipata kutoka kwa mume wako coz ya uchapombe.

CHA KUFANYA SASA/ DAWA.

1.
Ukiwa umeolewa na mume wako na una mtoto basi hiyo ni kazi rahisi sana: kamua maziwa toka katika chuchu/matiti yako na ukinge katika kikombe kwa kiasi fulani ambacho utakadiria kwa macho, mfano : ujazo wa robo kikombe cha chai, then chukua hayo maziwa changanya na pombe anayopenda kunywa, regardless ya kienyeji au bia, wewe mpatie tu anywe hiyo pombe.

2. Kama wewe umeolewa na huna mtoto, basi kamua maziwa ya nguruwe au tafuta maziwa kwa mama anayenyonyesha then fanya kama nilivyoelekeza hapo juu.

MATOKEO

Kwa ujumla mume wako atatapika hiyo pombe ya baada kufeel abnormal, hivyo itamfanya kila akiona pombe au kuhisi harufu ya pombe atakuwa hapendi kabisa na hata jaribu kunywa tena coz ile kitu ita-stick ktk mind yake.

NB: Kama utatumia bia basi hakikisha iwe mida ya usiku ili asiweze kugundua hilo zoezi na pia hilo zoezi lifanyikie home plse.

Nawatakia kila lakheri, na mungu awaongoze ktk hilo jaribio ili muokoe ndoa zenu na hatimaye uendelee kuishi kwa amani na upendo na mume wako/mpenzi wako huku ukifurahia the needful toka kwa mume wako/ bf wako and alike.

U're welcome.
 
kila lenye faida lina hasara zake je hiyo ina madhara gani?

Kiukweli haina madhara yeyote yale zaidi ya wewe kutunza siri ndani ya moyo wako kuwa wewe ndio uliomfanya aache kunywa pombe kwa kumfanyia hicho kitu. Nafikiri ukifikiria kwa undani zaidi utagundua faida ni nyingi sana kuliko hiyo hasara ambayo unaweza ukaji-kontrol na asiweze kujua kuwa wewe ndio umemfanyia hivyo!

U're welcome
 
Dah! mimi mwenyewe nataka kuacha ngoja niende kw mama watoto fasta anikamulie nichanganye kwnye valuu.
 
Hasara yake ni kwamba unaweza ukapigwa katerero mpaka ukahisi mbingu inakushukia...khe khe khe khe!
 
Hasara yake ni kwamba unaweza ukapigwa katerero mpaka ukahisi mbingu inakushukia...khe khe khe khe!

hahahahaha dah mkuuu sasa hiyo si ndio raha ya the needful au? hahaha ikibidi kubali tu huo mziki ndio raha hiyo ya malavidavi kuliko jamaaa alale fofofo baada ya kupata mitungi
 
Hiyo dawa umeshafanya test kwa yeyote? Ni wewe mwenyewe umegundua au? Nahisi inaweza kuwa sumu. na huyo unayempa ni mwehu kiasi gani maana maziwa ya mama ni testless kabisa ukiweka kwenye kitu chochote itaonekana, sometimes ukiweka kwenye kilevi kama hicho pombe inakatika kama maziwa ya mgando.

Nahisi wewe una mpango wa kubomoa nyumba za wenzako. Kila kitu kina madhara yake. Kuacha pombe ni rahisi hasa ikitokea rohoni mwa mnywaji siyo kwa style hii.
 
Hiyo dawa nilishawahi kuisikia toka nikiwa mdogo. Maana baba yangu alikuwa kwa bia utadhani ana ubia na TBL. Sasa sijuhi kama mama alimpatia ikadunda au la kwani nadhani niliisikia kwa mama.
 
kama ni mzoefu atahisi kwamba pombe ime expire so ataendeleza libeneke kesho yake tu...hivi mlevi gani akinusa harufu ya pombe atatapika?
 
kama ni mzoefu atahisi kwamba pombe ime expire so ataendeleza libeneke kesho yake tu...hivi mlevi gani akinusa harufu ya pombe atatapika?

wewe nenda kajaribu uone matokeo yake sio unaongea mamneno bila kufanya kwa vitendo! ukijaribu ndio utaona majibu ya maswali au doubt zako.
 

Kwanini watanzania mmekuwa wazito wa kupenda masomo ya sayansi hasa practical? hivi kwa hili kuna tatizo gani kwenda kufanya kwa vitendo? acha uoga bana, au ndo wale wale ambao ahaaa akiniacha huyu basiii .............. hahahahaha pole kwa huo uwoga wako !
 
Mmh huo ushauri wako sio wa kuaminika, anyway thanx kwa ushauri bhaana!
 
Mi najiuliza: Hayo maziwa ataniwekea wakati mimi niko wapi?

1. Huwa sinywi na mke wangu bar mara nyingi, na siku nikitoka naye, hayo maziwa atayaweka wapi?
2. Sinywei bia nyumbani
2. Kwenye bia yangu, hata likiongezeka tone la maji huwa najua

Wawekeeni wengine lakini si huyu babu aliyekula machumvi kibao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…