Alonso14
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 1,785
- 1,817
Baada ya kukaa na kumbuka maisha ya Shule na ugumu wake naomba kila mwana JF aje aseme njia alivyofukuzwa au alivyonusulika kufukuzwa Shule
Mimi binafsi nikikumbwa na msala kwa kusingiziwa kuvunja office ya decline master na kuiba simu na vitabu tulikuwa kma 8 iv kwenye huu msala aisee hili suala kuisha nadi ilibidi niende kwa mchungaji kuombwewa na msala ukiaisha juu juu japo tulikuwa tunakaribia kufukuzwa hii ilikuwa A level Shule flan iv hapo wanapoishi wanaume wa Dar
Mimi binafsi nikikumbwa na msala kwa kusingiziwa kuvunja office ya decline master na kuiba simu na vitabu tulikuwa kma 8 iv kwenye huu msala aisee hili suala kuisha nadi ilibidi niende kwa mchungaji kuombwewa na msala ukiaisha juu juu japo tulikuwa tunakaribia kufukuzwa hii ilikuwa A level Shule flan iv hapo wanapoishi wanaume wa Dar