Special kwa wapenzi wa mpira nchini Tanzania.

Special kwa wapenzi wa mpira nchini Tanzania.

Joined
Jul 21, 2016
Posts
11
Reaction score
3
Shiriki katika utafiti unaofanyika kuhusu mpira wa nchini tanzania kuhusu athari ya uongozi wa timu kutokuwa na ukaribu na mawasiliano na mashabiki wake.
Mawazo yako kama mwanamichezo ni ya muhimu ili kupata data zenye mashiko zaidi.
Fuata link hii hapa chini[emoji116][emoji116][emoji116]
 
Shiriki katika utafiti unaofanyika kuhusu mpira wa nchini tanzania kuhusu athari ya uongozi wa timu kutokuwa na ukaribu na mawasiliano na mashabiki wake.
Mawazo yako kama mwanamichezo ni ya muhimu ili kupata data zenye mashiko zaidi.
Fuata link hii hapa chini[emoji116][emoji116][emoji116]
kukosa udhamini katika ligi, kujiingiza kwa bepari na kutaka faida ktk timu kutokana na hali duni ya kiuchumi kwa klabu pamoja na umbumbumbu wa wanachama juu ya haki zao kwa klabu na umiliki wao wa mali za klabu!
 
Back
Top Bottom