zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
- Thread starter
-
- #21
Mi sinaga chuki za ovyo bana Ila sasa uliza maswali wakujibu wanajamvi wanaojua mi sijuiMm ni dokta tambitambi nilitaka tu kupima kama bado nipo fit kweny utabiri
Kumbe nimeshaexpire muda wangu
_sina nia ovu msela usijenge chuki
Sidhani kama wanaosali wanamuomba "MTU" ambaye haonekani!!Ni kwa nini mtu unasali unamuomba mtu ambae haonekani? Utasema ni imani! Ni kitu gani?
Duh!mbona maswali personal bana.KWANINI unapenda sana lugha ya kiingereza.?
Nikiwa mmoja kati ya watafiti kutoka shirika lisilo la kiserikali la TWAWEZA nimeweza gundua hilo
Good AnsSidhani kama wanaosali wanamuomba "MTU" ambaye haonekani!!
Wanaosali wanamuomba MUNGU, mungu si MTU mkuu!!
God is a spirit of three naturesIs God a first substance ?
Unauliza swali linalonihusu mimi Ila nimeanzisha thread nikitegemea uulize maswali yanayohitaji majibu ya kiujumlazagarinojo, swali personal maana yake nini?
Lakini hukusema tuulize maswali yapi, swali ni swali tu kubalianaUnauliza swali linalonihusu mimi Ila nimeanzisha thread nikitegemea uulize maswali yanayohitaji majibu ya kiujumla
Kwa mfano
Kwanini magari yana tairi zenye rangi nyeusi?
Na mimi nikuulize what's your gender?Lakini hukusema tuulize maswali yapi, swali ni swali tu kubaliana
What is Gender?Na mimi nikuulize what's your gender?
Unajua maana yake acha utani jinsiaWhat is Gender?
FemaleUnajua maana yake acha utani jinsia
Mhm!mbona sasa umeweka avatar hiyoFemale
Wewe ni mtoto?Mhm!mbona sasa umeweka avatar hiyo