ODM imegundulika SaraM ni mkongwe humu, muulize felo tablet don't say I didn't worn you!Hommie hiyo Red hapo.........Ni mtego au ndo natakiwa kutimiza ahadi za mnadani?<br />
<br />
Aisee ngoja nimPM SaraM afu matokeo ntakutumia mheshimiwa mwenyekiti........... Idumu SRM!
Usijali, kama ukinidondokea, Mheshimiwa Moskwito ameshanipa address ya hii kitu hapa chini, nahisi patatufaa.......... Please be my soulmate!............klorokwini asisome hapa kabla hujanikubalia pliiiiis!Babu bado una celebrate special R.M hahahahaa mie wivu mbona umetupanga, si ulinipromise yupo bibi tu na mimi?
Hahahaha........machale yananicheza.......... Wanshangaza!ODM imegundulika SaraM ni mkongwe humu, muulize felo tablet don't say I didn't worn you!
Hahaha wanchekesha.!Hahahaha........machale yananicheza.......... Wanshangaza!
...we use to sit there tukitazamana usoni,...hahhhh.....maisha ni matamu acheni tu...
ODM imegundulika SaraM ni mkongwe humu, muulize felo tablet don't say I didn't worn you!
Nimekoma mzee...... Nilichoambulia huko PM sitarudia tena. Kuanzia sasa ntakuwa nadeal na malijendi yenye majina ya jinsia ye ke.....haya majina mapya hatari sana aisee!Yaani ODM bwana, akiona jina la jinsia ya kike akili zake zinaruka kabisa! Tehetehetehe!
Nimekoma mzee...... Nilichoambulia huko PM sitarudia tena. Kuanzia sasa ntakuwa nadeal na malijendi yenye majina ya jinsia ye ke.....haya majina mapya hatari sana aisee!
Just be happy bwana...umeona ee?...heri wewe umesema. Hapa ndipo nilipokuwapo day3 mchana na soulmate wangu...
...a romantic retreat ambayo kiukweli kuwa naye tu alinifanya nijiskie so special...
natafuta neno gani la kumshukuru kunikubalia mwaliko wangu, neno 'mbado' sijalipata...
Niwe soulmate wako mara ngapi babu? tena sitak pengine hapohapo kwa mbu na soulmate wake, mbu nae kwa kujiromantisha, anatutamanisha tu wenzake!Usijali, kama ukinidondokea, Mheshimiwa Moskwito ameshanipa address ya hii kitu hapa chini, nahisi patatufaa.......... Please be my soulmate!............klorokwini asisome hapa kabla hujanikubalia pliiiiis!
Kila mmoja na asome hapa.............Natangaza rasmi, kuanzia leo Gaga ndio soulmate wa ODM.......Watu wote pigeni makofi.......Niwe soulmate wako mara ngapi babu? tena sitak pengine hapohapo kwa mbu na soulmate wake, mbu nae kwa kujiromantisha, anatutamanisha tu wenzake!
Kila mmoja na asome hapa.............Natangaza rasmi, kuanzia leo Gaga ndio soulmate wa ODM.......Watu wote pigeni makofi.......
Na hili hapa chini ndilo neno la Soulmate wangu:
You Only live Once....But if you do it right, Once is enough
Khaa! Kiongozi naona unataka kuniharibia move!Hapo kwenye bluu naona unajenga mazingira ya kutoa naye single badala ya album....!!
Khaa! Kiongozi naona unataka kuniharibia move!
Kunywa taska malti mbili za baridi kwa bili yangu.......... Pitia pale Rose Garden kuna mhudumu anaitwa Pamela mwambie akupe....Dah! Nilikuwa najaribu tu kusoma katikati ya mistari...Ngoja niende kaunta sasas kiongozi. Nisije nikaribu zaidi...Namwachaa klorokwini jukwaa!
.......
lol si bure.kuna unalontafutia Mbu!! Asprin ashantosa kanireplace na Gaga, bado tu??!<font color="#B22222"><span style="font-family: book antiqua"><font size="3"><br />
...mnh, umejaaliwa mgongo mashaallah... <br />
<br />
Mwanajamiione nisamehe darling wangu,...ulimi umeniteleza tu hapa <i>madame moi---<br />
</i>wewe ni zaidi ya wote, ...mwisho wa matatizo na hata zile njozi za 'jehanamu' na mang'amung'amu... xoxox</font></span></font>
lol si bure.kuna unalontafutia Mbu!! Asprin ashantosa kanireplace na Gaga, bado tu??!
Kwa Darlingtone umeonyeshwa mgongo tu tena kwa mbaaali, halahala usijetangaza nae ni soulmate Wako!