hii thread imenithibitishia kitu kimoja so powerfull
kuliko nilivyokuwa naamini.....
There is nothing in this World which conquers all like LOVE....
hilo nalifahamu..
but sio hiko.......something i believe ni kitu so powerfull
hii thread imenithibitishia kitu kimoja so powerfull
kuliko nilivyokuwa naamini.....
hilo nalifahamu..
but sio hiko.......something i believe ni kitu so powerfull
Please tell Boss...
...umeona ee? hata mimi kaniweka kwenye suspense...the boss bana!
...lol...hebu ning'ate sikio,...umegundua nini ewe mtani?
siwezi kusema kabisa
so far mbu unakijua...lol
mimi nimethibitisha hapa ni so powerfull
ingawa nilikuwa nakijua...
asha d sorry....hupaswi hata kukijua lol
siwezi kusema kabisa
so far mbu unakijua...lol
mimi nimethibitisha hapa ni so powerfull
ingawa nilikuwa nakijua...
asha d sorry....hupaswi hata kukijua lol
...aaarrrgghhh,...hebu ni pm basi...kichwa kishachoka hiki na kosakosa za
kupigwa pasi na daladala siku ya leo, nawe sasa wan'tia maruwe ruwe na mgao huu....
mbu
nimeshasema wakijua...
labda hilo neno so powerfull linakuumiza kichwa..
nikikwambia sana sana utaniuliza mimi,ulikuwa hujiu?lol
ni kitu waswahili wanaita siri ya wazi....lol
Tunawasubiri waliopitia watu madata, wengine ni ndoto mpaka sasa, all relations i had ni kero tu, sitaki hata kuzikumbuka.
Lol................xoxo...mwj1...wanijua nikitumia font hizi maanake laptop ishazimwa, natumia jf mobile. Pls, wake me up... Nakupenda, usiku mwema xoxo
The Boss, wewe ni great thinker aisee, pheewww..!
Thx buddy.
Wewe si ndio lawyer wake?hehehe BB bana! halaf kuna kazungu ka watu kanavaa nguo kwenye hilo photo. Subiri soulmate aje kushtakiwa.
Nimesuspend faili zake kwa muda! sitofafanua zaidi.Wewe si ndio lawyer wake?
Nimesuspend faili zake kwa muda! sitofafanua zaidi.
Aaaaah klorokwini!! kirahisi hivyo?Nimesuspend faili zake kwa muda! sitofafanua zaidi.