Special Romantic Moments......

nimewahi sikia watu wanasema at least umpigie simu asubuhi yake kama hamuishi pamoja

Aksante sana The Boss, ina maana umpigie umweleze jinsi ulivyoenjoy?? au just aksante??

Recently I have been given the best three days of my life....still I cant find words to say thank you kwa sababu ninaamini kuwa pamoja na kuwa it was out of love I still feel like it was too much and a mere thank you haitoshi kuonyesha ni jinsi gani ninaappreciate alichonifanyia.
 

Nani huyo? hebu eleza vizuri basi??

Inawezekana ulikuwa na shost wako akukupa umbeya wa kutosha au???
 
yani sitaki hata kukumbuka kero mpaka mwisho wa reli
Shalis....mimi ninapingana na wewe.haiwezekani kuwa hujawahipata 'Good Memories' japo mwanzoni mwa mahusiano jamani ama sivyo we usingemkubali bwana. Hebu share!!
 
MBU: duniani raha kama tu una wa kupeana nae hizo raha...

MJ1: wakati mwingine mioyo yetu ikifurahi sana tunashindwaga la kusema, atakuelewa tu kwamba umekosa maneno ambayo unahisi yatatoshea kusema utakacho.
I missed you two....lol!
 

...hhhahhhahahahahaaa....I LOVE MMU!
mstaafu unakula nae sahani moja mpaka utajiwe?
nimeagiza kombe kingine cha kahawa na kashata hapa...



...we use to sit there tukitazamana usoni,...hahhhh.....maisha ni matamu acheni tu...
 

Oh My Gosh!.....Some people are very lucky.......Hongera sana Mbu kusema ukweli ninawezapata picha ni kwa kiasi gani Soulmate wako amejisikia maana kwa maneno haya tu uloandika hapa tayari yana u-speciality flan kwa Madame. sijui nikupe akisante kwa niaba au nitaharibu mood ya Madame!!

Nimeipenda hii experience yako kwa kweli kwa sababu the important issue ni kufurahi PAMOJA. jamani maisha mafupi, tuenjoy na wapenzi wetu.
Mbu una more pictures kwa ajili ya wapendanao?? tuhamasike kufanya utalii wa ndani kama njia mojawapo ya kuboresha mahusiano yetu. Tuwapeleke tuwapendao huko Ngorongoro, Serengeti, Seronera, Sopa and the alike.

Spice up your relationships........................kina dada tusibaki nyuma kusubiri tupelekwe jamani usawa tunaoudai usiishie kwenye mirathi na divorce!! (eti tu sawa basi turithi/gawane sawa)
 
MBU: duniani raha kama tu una wa kupeana nae hizo raha...

MJ1: wakati mwingine mioyo yetu ikifurahi sana tunashindwaga la kusema, atakuelewa tu kwamba umekosa maneno ambayo unahisi yatatoshea kusema utakacho.
I missed you two....lol!

Karibu sana mdogo wangu,

Naona hapa kuna kitu kipya...ngoja nikuachie kijiti kwanza..nikabembeleze wajukuu wapate kusalimiana na Mungu!
 
Reactions: Mbu
Karibu sana mdogo wangu,<br />
<br />
Naona hapa kuna kitu kipya...ngoja nikuachie kijiti kwanza..nikabembeleze wajukuu wapate kusalimiana na Mungu!
<br />
<br />

Kaka mkubwa, hapa nimevuta kiti nasubiri ajibu maswali yako kwanza.....
 

AishaDii shost mbona wanchokoza?? maana hii kama vile uliirecord!!! ..........ahhahaha kwenye Boarding room, nlishawahipigwa na suprise ya aina hii....from behind, humwoni mtu unasikia tu ....a kiss from behind.........LOL kuna watu wana hatari kiasi kwamba unajaribu kuwafikiria huwamalizi.............
 

Hahahahah Mbung'o tena??...............eh this shows how people can go an extra miles to make someone special in their lives happy!! .....I wish!!
Ninavyoogopa Mbung'o, I bet Mbu this was your first time together wasnt it? LOL kama siyo angalia watu wasijefanya 'advance application'!!!
 
Reactions: Mbu

hahah mkuu usharobaro kazi unakumbuka hizo, zilikuwa sometimes posta wanazirudisha ivo ivo, hawazipokei wakizistukia? hivi tulikuwa tunafutia nini? kasponji kenye maji maji ivi?

(halafu mkuu, ushawai kujiuliza uliyekuwa unamwandikia na yupo wapi sasa hivi? definately 75% probability humumwoa)
 

...mwj1 we acha tu...nikikumbukia lunch break kwenye kiota cha serengeti,...



...
....na ma chef waliokuwa wakijituma
kuhakikisha twaufaudu mlo wetu,....the whole experience is second to none...

kama nilivyotanabahisha hapo awali...it takes two...we had the best time of our lives...
nothing to regret kwakweli...labda muda tu haukutosha...i wish tungekaa huko wiki nzima labda,,,
hahhhhhhh!
 
Sijui kama nimeelewa vizuri,

Ila huwana nahisi nimepata lift ya watu wa NASA nikimsikia mdau wangu akiomba msaada wa majirani baada ya kunogewa na dinner!!

Hii nayo imo???

Halafu wewe....Ulipotelea/potezewa wapi????
Mzee DC yoyote yanayokufanya ujisikie kuwa UNAPENDWA including kusifiwa kwa watu.

LOLnilipotelea/potezewa wapi??! ngoja nkatafute jibu nije hahaha
Nimekumiss sana Mzee DC
 


Mmmh.....MJ1!......
 
Sijui kama nimeelewa vizuri,

Ila huwana nahisi nimepata lift ya watu wa NASA nikimsikia mdau wangu akiomba msaada wa majirani baada ya kunogewa na dinner!!

Hii nayo imo???

Halafu wewe....Ulipotelea/potezewa wapi????
Hahahahahh Mzee DC unantafuta
 
Ungekuwa reachable basi cable yako ilikuwa imetua kwenye wikileak!!!


Nipo makini, home ni cable free....lol.. Maana usipoangalia waweza jikuta JLW...


MJ1 hio Kiss always melts me...lol... nasahau kila kitu thus my romantic moment...
 
Reactions: Mbu
<br />
<br />

Kaka mkubwa, hapa nimevuta kiti nasubiri ajibu maswali yako kwanza.....

...hahhh, nimjuavyo mwj1 atalifunga funga hili weee mpaka thread i expire.
nimemsoma, she'd the best 3days of her life...kwangu mie thats speaks volume.


...hapana,...we are soulmates,...ila hii retreat meant to be the beginning of something big,
the gamble paid off,....lol...

All in all, she's worth more than rubbies...kwa urembo wake na ninavyomthamini,
furaha yake ni faraja yangu,....sihitaji malipo zaidi ya ile furaha na tabasamu nilokuwa namuona nayo
tangu day 1 ya safari yetu...ahhhh...what a week end!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…