Special Romantic Moments......


...ama?...hahahaha...waifananisha/kuilinganisha retreat yangu na ya mwanajamiione nini?
hapana, yangu ilikuwa majuzi...ya mwj1 sijui yaliyomsibu wala lini...lol!

Umeona eh, Mzee DC anataka kuunganisha dots ambazo ni very scattered eti anataka apate msitari ataoupata ulio linear!!

Yangu ni ya muda kidogo but impact yake mpaka sasa naifeel!! na bado natafuta jinsi ya ku'shukuru'!!! Ila yako ya huko Mbugani mh, umenitamanishaje!!
 
<br />
<br />
Mkuu long time hujasikika
Uko salama lakini. Ngoja nitakuja kuelezea romantic moment yangu hapa
 
Reactions: Mbu

...dahhh, am humbled kwa kweli...huyu mwanajamiione namtafsiri kama;

A soulmate (or soul mate) is a person with whom one has a feeling of deep or natural affinity, similarity, love, intimacy, sexuality, spirituality, or compatibility. A related concept is that of the twin flame or twin soul, which is thought to be the ultimate soulmate.


[TD="class: word"] soulmate
[/TD]
[TD="class: tools"][/TD]

[TD="class: text, colspan: 2"] A person with whom you have an immediate connection the moment you meet -- a connection so strong that you are drawn to them in a way you have never experienced before. As this connection develops over time, you experience a love so deep, strong and complex, that you begin to doubt that you have ever truly loved anyone prior. Your soulmate understands and connects with you in every way and on every level, which brings a sense of peace, calmness and happiness when you are around them. And when you are not around them, you are all that much more aware of the harshness of life, and how bonding with another person in this way is the most significant and satisfying thing you will experience in your lifetime. You are also all that much aware of the beauty in life, because you have been given a great gift and will always be thankful.
[/TD]
 

Hahaahhah MORIA naona unataka niendelee kujisikia special....eti nami pia Mrembo??! loh aksante anywayz.
Nimeubadili upepo mpenzi maana maisha mafupi lini ntafurahi nami kama kila kukicha ni kujilizaliza?! ntajadaiwa ahera bure!! hahah

Hapo kwenye kukumbuka ya kale na kujenga kitu kipya na kuwa kinga dhini ya usaliti imenipa kajiswali ka uzushi!! Unaitumiaje hizi kumbukumbu katika ku'sameheana' pale tunapokwazana? mfano mwenzi wako amekukwaza hadi unajiuliza ilikuwaje ukatumbukia mokononi mwake, je ukivuta kumbukumbu kukumbukia 'moments' hakuwezitusaidia kulegeza kamba
 
Ningeshangaa sana kama Kaizer asingeiona hii post na kupita juu kwa juu tu lol!!!!
 
Hapana mkuu!!!

Nilikuwa najikumbusha hisabati za enzi zetu. Zile za kutoa na kujumlisha (with error margin of +/-1)!!!!

Ila nyie ni wakali....yaano romantic moments zenu zime-coincide si mchezo....May ndo maana NN anaomba mtuandikie kitabu...LOL!!!

LOL hapa Mzee wangu unailazimisha Mahari hapa, tena wataka kumbana Mbu ili akiri kuwa ni yeye basi mahari hiyo itoke kwake!!

Wewe ni wangu ukifika muda muafaka ntakujulisha tu hahahaahahahahah. As if DC hujui yepi yanayoendelea upande wangu aha
 

Hivi mjukuu ni nini tena banaa mimi hapana banaa lol!!!! Kuna Special Moment moja iko around the corner ninaionaona inakuja lol!!!!!
 

Hahahahah shemeji aksante kwa kunichekesha mie asubuhi hii.....hahaha eti hajaomba talaka mpaka leo !!

Na hiyo ya matayo dah.......... ntakutafuta kwa faragha!
 

Dah!!!! Mkuu ulinyima lift ya kwenda mbugani wakati nilikufahamisha mapema kabisa nahitaji nipate moment ya kuona Simba lol!!! Mkuu hope all is well on your side
 
Reactions: Mbu

Ah................sijui niifute 'ofa ya kukutafuta faragha?' lol
 
ha ha ha... PA... Naona umeniamkia mapema hii (infact kaboreka eti natoa siri zake... leo kaninunia....lol)
PA sijui MJ1 ana ajenda gani banaa yaani mimi nilipoona Special Romantic Moments ghafla nikaanza kukumbuka machungu yaliyonikuta sijui kwanini aisee
 

Wewe CQ....Yaani unataka wajukuu wanione kama mwehu kwa kukenua mapengo yangu!!!!

Laiti ingewezekana kurudisha uhai wa hii dawa.....May be, may be........!!!!
 

NN, thanx man!! Cna maneno ya kuonyesha jinsi gani umenifanya nijisikie Special lol...................naona kama aksante tupu haitoshi! hahahah
Ngoja niombe kwa Soulmate wa Mbu ruhsa kwanza ya kufanya nae kazi!
 

lol...hii post inanifurahisha sana,...mwj1...acha kujishuku...
pokea zawadi ya upendo bila kujiuliza utalipaje...kwani naamini
upendo hulipwa kwa upendo zaidi,...
kwakuwa ulitunukiwa siku tatu za retreat, haina maana nawe ufidie..

...kama nilivyotoa mfano yangu kwa topic ya awali,...linalo fidia furaha yangu
ni lile tabasamu lake na furaha yetu
kipindi chote tulipokuwa mbugani tukijipendelea (na soulmate wangu.)

...saying that, sina maana na-degrade kwamba hana uwezo wa kunifurahisha...la hasha!...
namaanisha, upendo wangu wangu kwake/kwetu haupimiki kwa thamani ya retreats, bali furaha itokanayo na kuwa pamoja.
 
PA sijui MJ1 ana ajenda gani banaa yaani mimi nilipoona Special Romantic Moments ghafla nikaanza kukumbuka machungu yaliyonikuta sijui kwanini aisee

Ukiona hivo ina maana alokupa hio speacial romantic moment as much as hampo woote... You have not let go..... Pole PA.... Ila naomba utaje, ni ipi hasa mpaka inakufanya iumee kiasi hicho... (alafu MJ1 na Mbu dawa yao ipo jikoni... Hizi topic zao hizi....)
 
Hahahahaha Mzee DC eti .......wewe ndio rais wa dunia hata Obama hafai kuwa makamu wako! Mwe watu mna vituko humu!! hakika hii ni romantic moment sijui ukishaambiwa hivi Mzee wangu unajibuje teh teh teh!

Unajibu kwa lisauti la kizee zee,

Ehhh, ehhhh...kweli malaika wangu na mungu wangu wa hapa kwa duniani!!!!!!??????.....Basi kesho nitaongeza dozi!!!!

Is that not romantic!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…