MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
- Thread starter
-
- #81
...ama?...hahahaha...waifananisha/kuilinganisha retreat yangu na ya mwanajamiione nini?
hapana, yangu ilikuwa majuzi...ya mwj1 sijui yaliyomsibu wala lini...lol!
<br /><font color="#b22222"><font size="3"><span style="font-family: book antiqua"><br />
aisee acha tu,...nimeng'atwa na mbung'o huko katika harakati za kumfurahisha madame, a<i>nd it worth every penny aisee.</i>...nasubiria maumivu yakizidi nikamuone dakitari, otherwise, <b>the retreat</b> was excellent na madam hakuwa yule mwenye gubu la 'tunaharibu hela....!' yeye ni smiles tu...aisee maisha haya ni raha sana bana...<br />
<i><b>you only live once....</b></i><b><u>kujipendelea muhimu!<br />
</u></b><br />
long tym bro, kwema?</span></font></font>
Any time my dear!
Wewe na Mbu combined mna mada kem kem za mapenzi na mahusiano ambazo mkizi compile na kuzipangilia vizuri mnaweza kutoa kitabu kimoja kizuri sana. Not only that, you both always come up with fascinating topics and ideas.
Au mnaweza kuwa na TV talk show yenu inayohusu mapenzi na mahusiano kwa ujumla. Your chemistry is off the chain and I always enjoy reading your good-natured banter. Based off of that I think you guys can form quite a dynamic duo!
But that's just me thinking out loud.
<br />
<br />
Mkuu long time hujasikika
Uko salama lakini. Ngoja nitakuja kuelezea romantic moment yangu hapa
Mrembo hujambo.. asante kwa kuubadili upepo, malalamiko too much utafikiri tuko igunga... ni kweli tunapokumbukia nyakati nzuri ktk maisha ya mapenzi..tunajenga kitu kipya..yaani tunazaliwa upya..pia yaweza kuwa kinga dhidi ya usaliti... always naamini kuna mema mengi ktk maisha kuliko ubaya.
Ningeshangaa sana kama Kaizer asingeiona hii post na kupita juu kwa juu tu lol!!!!One of my speacial romantic moment happens in a nip...
a nibble kiss on my neck just below my left ear.. him
standing from the back.. not wanting do go third base
but just kissing for the sake of kissing... It always works
wonders... and It infuses my whole with so much love...
Hapana mkuu!!!
Nilikuwa najikumbusha hisabati za enzi zetu. Zile za kutoa na kujumlisha (with error margin of +/-1)!!!!
Ila nyie ni wakali....yaano romantic moments zenu zime-coincide si mchezo....May ndo maana NN anaomba mtuandikie kitabu...LOL!!!
Wapendwa wanaJF
Ni matumaini yangu wote mu wazima. Nimewamiss sana wote.
Kwa mara nyingine tena ninawaomba tushee pamoja baadhi ya kumbukumbu (memories) ambazo tulishawahi kuzipitia kwenye maisha yetu ya mahusiano. Ninaelewa wengi mlishazipitia zile 'Romantic Moments" ambazo zilikufanya ujisikie kuwa wewe ni A VERY SPECIAL PERSON katika maisha ya huyo alokupa hiyo great romantic moment. Najiuliza tu
Je unaonyeshaje kuwa umeridhika, umefurahia na unamshukuru vipi kwa kukupatia nafasi hiyo au tunachukulia tu ni jukumu lake kukupa good times kwa kuwa tu u her/his chosen one? How do you show your appreciation?
Ningeshangaa sana kama Kaizer asingeiona hii post na kupita juu kwa juu tu lol!!!!
Mimi bana namtwanga ma sapraiz tu! tena niko talented kweli kwenye hili fani la masapraiz, nakumbuka siku moja alinifurahisha kwenye kiduku cha midnight basi mzembe siku ya pili nikanunua mashine la karaoke! Ile anafungua mlango tu nikamlembea "King'aaaaast, I need youuu I love youu" ya Mr Nice, halaf ili kuonesha msisitizo nikamalizia na boyz 2 men Ai will mek lav 2 u hehehe hajadai talaka mpaka leo aisee!
Ujumbe
"Fuateni nira yangu na mjifunze toka kwangu", nimesahau sjui ni matayo ngapi hii! mwenye biblia atusaidie
...dahhh, am humbled kwa kweli...huyu mwanajamiione namtafsiri kama;
A soulmate (or soul mate) is a person with whom one has a feeling of deep or natural affinity, similarity, love, intimacy, sexuality, spirituality, or compatibility. A related concept is that of the twin flame or twin soul, which is thought to be the ultimate soulmate.
[TD="class: word"] soulmate [/TD]
[TD="class: tools"][/TD]
[TD="class: text, colspan: 2"] A person with whom you have an immediate connection the moment you meet -- a connection so strong that you are drawn to them in a way you have never experienced before. As this connection develops over time, you experience a love so deep, strong and complex, that you begin to doubt that you have ever truly loved anyone prior. Your soulmate understands and connects with you in every way and on every level, which brings a sense of peace, calmness and happiness when you are around them. And when you are not around them, you are all that much more aware of the harshness of life, and how bonding with another person in this way is the most significant and satisfying thing you will experience in your lifetime. You are also all that much aware of the beauty in life, because you have been given a great gift and will always be thankful. [/TD]
Umeona eeeh! yaani acha lawyer niuchune tu! usisahau vile vile , wote walipotea halaf ghafla wote wameibuka sku moja tena wanachangia sred ya special romantic moments.
Hii sredi mpaka sasa great thinkaz ni mimi na Dark city tu, mlobakia tunakushkuruni kwa kuchangia.
PA sijui MJ1 ana ajenda gani banaa yaani mimi nilipoona Special Romantic Moments ghafla nikaanza kukumbuka machungu yaliyonikuta sijui kwanini aiseeha ha ha... PA... Naona umeniamkia mapema hii (infact kaboreka eti natoa siri zake... leo kaninunia....lol)
Umeona eeeh! yaani acha lawyer niuchune tu! usisahau vile vile , wote walipotea halaf ghafla wote wameibuka sku moja tena wanachangia sred ya special romantic moments.
Hii sredi mpaka sasa great thinkaz ni mimi na Dark city tu, mlobakia tunakushkuruni kwa kuchangia.
Any time my dear!
Wewe na Mbu combined mna mada kem kem za mapenzi na mahusiano ambazo mkizi compile na kuzipangilia vizuri mnaweza kutoa kitabu kimoja kizuri sana. Not only that, you both always come up with fascinating topics and ideas.
Au mnaweza kuwa na TV talk show yenu inayohusu mapenzi na mahusiano kwa ujumla. Your chemistry is off the chain and I always enjoy reading your good-natured banter. Based off of that I think you guys can form quite a dynamic duo!
But that's just me thinking out loud.
Dah aksante sana The Boss maana mie sikumbuki kama nilifanikiwa kulipata 'neno' la kushukuru maana niliona kama vile Aksante haitoshi kuonyesha jinsi gani nilifurahi and yet mpaka sasa najisikia guilty asijekuwa alihisi kuwa sikushukuru kwa kuwa ninachukulia kuwa ni wajibu wake kwa kuwa ananipenda!!.
Najaribu kufikiria nijitutumue nami nimpatie japo 2 days za kuenjoy. Sijui ntaweza na nlivyo dull!! mwe
PA sijui MJ1 ana ajenda gani banaa yaani mimi nilipoona Special Romantic Moments ghafla nikaanza kukumbuka machungu yaliyonikuta sijui kwanini aisee
Shikamoo mzee wangu, hebu tukumbushie Special Romantic Moment yako ya 1947Ndo mimi Babu DC (1947)!!!
Nije????
Hahahahaha Mzee DC eti .......wewe ndio rais wa dunia hata Obama hafai kuwa makamu wako! Mwe watu mna vituko humu!! hakika hii ni romantic moment sijui ukishaambiwa hivi Mzee wangu unajibuje teh teh teh!