Special Romantic Moments......

Mzee DC usichanganye yangu na ya Mbu.........yangu ilikuwa siku 3 zamani kidogo naona ya Mbu bado ni fresh kabisa!

Nisamehe mwaya,

Hii miwani inaona picha mbili mbili.....Niliona kama yote yamemwagika jana toka mawinguni......

Mubarikiwe sana ndugu zangu!!
 
Reactions: Mbu

Mhhhh...wewe ni mkali sana wa kueleza mambo kwa ufasaha...Kama ungekuwa na darasa, lazima ningekuwa mwanafunzi wako siku moja!!

Hivi baada ya maelezo kama haya.....na kama ni kweli na wengi tunaona hivi....Kwa nini tusikimbie kumwita shekh akawahi na ubani wake ili maandiko yatimie????

Hatuwatendei haki wenzetu!!!
 
Reactions: Mbu
Hawa MJ1 na MBU wanapenda kweli kufungua nyaraka za Serikali lol!!! PA yaani ni machungu kwenda mbele huwa sipendi hata kuikumbuka halafu huyu MJ1 huyu ngoja nimsake alipo lazima anilipe fidia kwa topic hii aliyoleta lol!!!
 

Aksante Mbu na The Boss, mie lengo langu nlitaka at least tuwape matumaini watu maana kwa muda mrefu sasa kila thread inayoanzishwa inakuwa na malalamiko juu ya mapenzi na mahusiano matokeo yake tunajenga picha kuwa ndoa/mahusiano ni kero na maudhi tupu ilhali kuna mazuri ambayo mtu akiyajua anawezapata matumaini mapya!

Hata mimi kwa muda mrefu nilifikia hatua kujiuliza nini hasa lengo la kuwepo kwa mapenzi duniani iwapo kila kukicha watu wanaumizwa, wanaumiza na kukerana?!! kumbe sio kila siku ni jua tu hata mvua 'za maraha' zipo siku moja moja eh!!
 
Hawa MJ1 na MBU wanapenda kweli kufungua nyaraka za Serikali lol!!! PA yaani ni machungu kwenda mbele huwa sipendi hata kuikumbuka halafu huyu MJ1 huyu ngoja nimsake alipo lazima anilipe fidia kwa topic hii aliyoleta lol!!!


PA ama umenikwepa! Kweli inaelekea ni machungu hasa..... Ukimpata nishtue...lol... Mie nataka kumpongeza...


@MJ1 Tafadhali Baada ya hii thread tafadhali leta ya Machungu.... Tuone what members watasema... walau hata PA hapa asikose la kusema.....
 

....lol....niachieni Soulmate wangu jamani, khaaaa? hahahah...mbu yupo likizo AshaDii...
nimejitokeza 'kumpa shavu' mwanajamiione hapa kwa useful sredi 'ake hapa.


Dah!!!! Mkuu ulinyima lift ya kwenda mbugani wakati nilikufahamisha mapema kabisa nahitaji nipate moment ya kuona Simba lol!!! Mkuu hope all is well on your side

...aisee nahisi kama tungekukwaza njia nzima, maana minong'ono, mabusu, kushikana mikono, vicheko na kukumbatiana was all the way from Dar and back, na waliosema ati kufanyiana hayo kwaweza sababisha ajali ni warongo,...kwani tumekwenda na kurudi salama, [naamini hata mungu alifurahia kutuangalia waja wake tukihubiri mapenzi na upendo njia nzima kwa vitendo]

....sasa wewe si ungetuona twakufanyia visa? hahaha...
 



Ukisikia kujitetea logically ndio hii hapa....lol
 

....lol....niachieni Soulmate wangu jamani, khaaaa? hahahah...mbu yupo likizo AshaDii...
nimejitokeza 'kumpa shavu' mwanajamiione hapa kwa useful sredi 'ake hapa.


Hivo Mbu umedhihirisha theory yangu....lol... kwamba rules can be broken because of her... Hivo furaha yangu ya kuona theory yangu haikuenda bure...
 


Very soon ntakuja na proposal hapa jamvini, nkuharibie kwa soulmate wako!! aksante kwa sifa hii kusema ukweli mnanipandisha masikio moto lol. Thanx guys. But kumbukeni hii ni picha ya kimaandishi dont let it fool you, nawahakikishia MwanajamiiOne aliyeko nyuma ya screen ni mtu wa kawaida sana. Thanx
 
PA ama umenikwepa! Kweli inaelekea ni machungu hasa..... Ukimpata nishtue...lol... Mie nataka kumpongeza...


@MJ1 Tafadhali Baada ya hii thread tafadhali leta ya Machungu.... Tuone what members watasema... walau hata PA hapa asikose la kusema.....
PA na mimi naweza kusema leo umeniamkia aisee lol!! Maana una hit on every angle mpaka uhakikishe nimesema hahaha ila najua hakijaharibika kitu kule kijiweni kwangu najua utapita tu
 

Ulishasikia story ya mwizi anayetaka kujikumbusha kuiba kwa kuweka kitu mfuko wa kushoto na kukichukua kwa mkono wa kulia kupitia kwenye masaburi yake???

Nilikuwa najaribu kuona kama zile hadithi za basic statistics, kwamba kama points zimekaa kihasara, unaweza kuchora best fit line....Hivi nimeweza kweli???
 
Lakini si uliniambia ulienda na video camera so tunaweza kuona matukio yote au sio? Especially kwenye scene ya mabusu motomoto hahahaha
 
Reactions: Mbu

...MWJ1 umesema yote yaliyokuwa moyoni mwangu,
wakiona mbu siku hizi hachangii sredi waelewe nimechoka na malalamiko
ya mahusiano na mapenzi kana kwamba hakuna pos+ za malavidavii...

ubarikiwe sana kwa kuanzisha unyuzi huu, unaokumbushia upande wa pili wa...
 
PA na mimi naweza kusema leo umeniamkia aisee lol!! Maana una hit on every angle mpaka uhakikishe nimesema hahaha ila najua hakijaharibika kitu kule kijiweni kwangu najua utapita tu


......lol.......... Just part of Alias....
 

Kweli kabisa....Naamini huyo Mungu ndiye alikuwa driver wenu, na malaika walikuwa mabaunsa....Na Yesu alikuwa.....Mhhhh

Nitarudi baadaye kidogo bro...

Ngoja nikamtafute bibi twende kuhiji kwenye kile kichuguu tulipokuwa tunakutana enzi za ujana wetu.....Nahisi kumwaga machozi....Bye bye!!
 
Reactions: Mbu
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…