Special Romantic Moments......

Nilimtafuta mdogo wangu huyu lakini hakupatikana, nilichepuka arusha kidogo

I am sure amefaidi sana

TangazO: Lunch Port View bila ngoma za kigogo
I am more concerned na hili tangazo
 
Hahahahaha............ nikikumbuka ashua anazochoma Asenga, huwa sikumbuki kama duniani kuna marafiki.....Hivi ni kwanini nyeti za mbuzi jike nazo hazichomwi kama za beberu....Huu ni unyanyasaji wa kijinsia....
Lol!!!!Hii sekta kuna mtaalamu mmoja anaitwa Bigirita sijui kama ameishamaliza kufanya research kuhusiana na hii makitu
 
Mimi bana greatest moment mwanamke aniambie 'ame miss siku zake' hapo najua yes kumekucha,am gonna be a father,na ikitokea hivyo huwa sikawii kumpiga midhaabu ya nguvu as a way of saying senk yu la'ziz!

Mkuu Bishanga naamini kabisa kuwa hapo huyo mwanamke sio wa aina moja eeh?
 
Lol!!!!Hii sekta kuna mtaalamu mmoja anaitwa Bigirita sijui kama ameishamaliza kufanya research kuhusiana na hii makitu
Hii makitu matamu sana, inaelekea ya mbuzi jike yaweza kuwa matamu sana..........Itaongezea Special Romantic Moment...... (Hapa issue ni kutotoka nje ya mada)
 
mimi sikumbuki kwa sababu moja kuu!
Ninaamini kuwa 'a man's happiest moment is also his weakest moment'
so niko 50/50
 
Hii makitu matamu sana, inaelekea ya mbuzi jike yaweza kuwa matamu sana..........Itaongezea Special Romantic Moment...... (Hapa issue ni kutotoka nje ya mada)

ODM..hivi hapa tunafanyaje ama ndo tupo kwen SRM......mi nilishaonyesha wasi wasi wangu tokea mwanzo kabisaaa...
 
Hii makitu matamu sana, inaelekea ya mbuzi jike yaweza kuwa matamu sana..........Itaongezea Special Romantic Moment...... (Hapa issue ni kutotoka nje ya mada)
Naye kama atahusika kwenye SRM basi kuna hatari sana
 
ODM..hivi hapa tunafanyaje ama ndo tupo kwen SRM......mi nilishaonyesha wasi wasi wangu tokea mwanzo kabisaaa...
Unavyojua kusoma katikati ya mistari, huo wasiwasi wako ndio hali halisi...........Hivi Mnadani nako wanachomaga vikojoleo na mabusha ya mbuzi? Yaani hapa tunazungumzia SRM kwa hisani ya nyama tamu iliyochomwa na siyo mbichi
 
Unavyojua kusoma katikati ya mistari, huo wasiwasi wako ndio hali halisi...........Hivi Mnadani nako wanachomaga vikojoleo na mabusha ya mbuzi? Yaani hapa tunazungumzia SRM kwa hisani ya nyama tamu iliyochomwa na siyo mbichi

hiyo ni kama matairi na gari hommie...so SRM inaweza pia kuwa mnadani.....
 
hiyo ni kama matairi na gari hommie...so SRM inaweza pia kuwa mnadani.....
Aisee Naimagine unapata SRM kwenye GX110 baada ya kupata SRM mnadani,..............ODM lazima atimize ahadi yake bana.
 


Aksante sana MTM kaka yangu kwa mara nyingine tena umekuwa mwokozi wangu!
Hiyo namba sita hiyo dah!! I wish ningeijua wakati ule hahahaha sijui ningekuwa na kipya?! LOL
Jokes hahahahah hii ni aina ya 'msukule' maana utakuwa kila ukizikumbuka unaishia kucheka tu..................sidhani kama unaweza msahau kirahisi
 
mimi sikumbuki kwa sababu moja kuu!
Ninaamini kuwa 'a man's happiest moment is also his weakest moment'
so niko 50/50
Jamani please tell me more about that sweetie!! je una maanisha you guys are not supposed to be given the happiest moment kwa kuwa mtakuwa weak au mie ndo sijaelewa?!
 

Sir, I am also humbly humbled by your compliment. Thank you ever so much!
 
Jitahidi utakate mtoni hommie lol

MJ1 njoo kwetu upate SRM bana.....AshaDii ataaandaa kitu very special for you!

Usha'clear' doubts zako sasa? maana wewe siku hizi kuna unachontafuta si bure hahahahh
Naja very soon. By the way karibu Mbeghe hapa Majengo!!
 
Aisee nataka kuandikisha mtoto shule, nahisi wife ana kaujauzito nisije kosa nafasi baadaye............!

hAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAA.... JAMAA KAANDIKISHA MIMBA DARASA LA KWANZA 2017 ATI NAFASI ZA SHULE ZITAKUA NGUMU... hawa wahindi watatumaliza

Hii nayo ni spesho moment aisee

Anyway, hii kali
 

Mbu kwa kupenda kuturingishia tu hujambo, haya bwana mi napita tu
 

VEry true MJ1...some special moments go unnoticed because of poor communication, but rest assured, once you have experienced then, you never forget

Hakuna kitu kizuri, kama kupania halafu ukapata ulichopania
 
Jitahidi utakate mtoni hommie lol

MJ1 njoo kwetu upate SRM bana.....AshaDii ataaandaa kitu very special for you!
Hata nisipotakata si unajua Unogaji wa pweza,ni vile hana miba!?

hAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAA.... JAMAA KAANDIKISHA MIMBA DARASA LA KWANZA 2017 ATI NAFASI ZA SHULE ZITAKUA NGUMU... hawa wahindi watatumaliza

Hii nayo ni spesho moment aisee

Anyway, hii kali
Hii nayo yaweza kuwa SRM. Mwambie MJ1 ainukuu katika majumuisho yake kwenye haka karisechi anakokafanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…