Hii article ni ya zamani na imeshawahi kupostiwa huku jf.
namba 2 is very crucial for EACOP. Tanzanian side tender is loadingView attachment 1836643
Hii inaonyesha contract ya construction ya Tz is close.What a good news. EACOP mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91]
Uongo. Wapi hizo tender documents za EACOP tuzione? Usipende kuokota takataka mitandaoni na kuzileta huku.namba 2 is very crucial for EACOP. Tanzanian side tender is loadingView attachment 1836643
Hahaha. Mimi nipo mbele yenu kwenye mradi huuSawa mkuu insider.
🤣🤣🤣
Tony254 tayari mwanasheria mkuu ameshawasilisha muswada wa bomba la mafuta la Afrika Mashariki (EACOP) katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.