Special Thread: Job Opportunities at ITM Tanzania Ltd

Special Thread: Job Opportunities at ITM Tanzania Ltd

Logistics Quantity Surveyor .png
 
Hawa ni matapeli wakubwa! Sitosahau walichonifanya! Kuweni makini
Habari Gladiator4440 ,

Tungependa ufahamu kuwa kampuni yetu imesajiliwa na tunafuata sheria, hatujihusishi na utapeli wa aina yoyote

Huenda kuna matapeli wanatumia jina la kampuni vibaya

Tunaomba utufahamishe jinsi ulivyotapeliwa; namba za simu za matapeli hao; pamoja na taarifa zingine zinazohusiana

Kwa kufanya hivyo utatusaidia kuchukua hatua zaidi za kuepusha watu kutapeliwa kupitia jina la kampuni yetu hapo mbeleni

Ahsante
 
Nikikosa kuitwa kwenye kazi Kati business development manager au logistics documents controller bas nitaamini kuwa hamko na hizo kazi
 
nyie jamaa ili kuondoa kashfa ya utapeli ni vyema mngekuwa mnapost pia majina ya walioitwa kwenye usaili pamoja na waliofanikiwa kuchauliwa sio mnatangaza tu kazi LA SIVYO NYIE MTAKUWA MATAPELI
 
nyie jamaa ili kuondoa kashfa ya utapeli ni vyema mngekuwa mnapost pia majina ya walioitwa kwenye usaili pamoja na waliofanikiwa kuchauliwa sio mnatangaza tu kazi LA SIVYO NYIE MTAKUWA MATAPELI
Ahsante mkuu Mtuturas kwa maoni yako. Tumeyapokea na tutayafikisha mahali husika.
#WeAreITM
 
Business development manager naweza apply ? Nina bsc forestry lakin nimesoma kozi nyingi za uchumi ndani yake inaweza onekana kwenye academic transcript
Habari mkuu Kunguru wa Manzese
Ndio, unaweza kuomba.
Elimu yako pamoja na uzoefu wako katika kazi zinazohusiana na nafasi iliyotangazwa unaongeza uwezekano wa kuitwa kwenye usaili.

NB: Deadine ya nafasi ya Business Development Manager imekwishapita
 
Hawa jamaa nimefanya nao interview recently, sio wabaya..sema watu wanaofanyia watu usaili ndio inabidi waimprove..sio MATAPELI kwa kweli.wana office zao nzuri tu pale tanzanite tower.
 
Back
Top Bottom