Special thread: Kilimo cha umwagiliaji (Irrigation)

Ni wazo zuri sana, lakini sisi waTz tuna homa kali sana ya kukosa uaminifu
 
Ni wazo zuri sana, lakini sisi waTz tuna homa kali sana ya kukosa uaminifu
Uaminifu upi bro,tutakacho share ni container,supplier na kodi za Tra...tukitoa mzigo kila mtu anachukua wake,tukiagiza in bulk tutasave shipping cost na kupata better price kwa supplier
 
Itakuwa vyema sana mkuu Upepo wa Pesa. Mi mwenyewe niko na shamba langu la ekari 10 linapakana na mto wenye maji mengi muda wote huko Kilosa. Ningependa nijue ABCs za kilimo cha umwagiliaji kabla sijaanza uwekezaji.
Boss udongo wa kilosa uko vipi mkuu... au unahitaji mbolea sana shamba heka moja bei ukikadiria inafika kiasi gani...? panafaa kichimba maji tuje tupambane ntashukuru sana boss... niko Iringa town apa
 
Nimeamua kuonyesha hizi picha kama uthibitisho
Ndugu zangu ktk ujenzi wa taifa bidhaa za kilimo hazina kodi.
Na TRA wanaonyesha wazi kabisa ktk vipengere vyao vya HS code.
Kama mnavyoona ktk picha mzigo huo nimelipia reli tu ambayo ni 37000 tsh.
20feet container ambayo imekidhi heka 35.
Gharama ya vifaa, usafilishaji na inspection huko kwao ni dola 8600usd.
Na hizi sio flat tape ambazo zina flat emmiters. Hizi ni integrated cylindrical drip line with cylindrical dripers, 16mm by 0.7mm.
Tuwe waangalifu ktk kuagiza hivi vifaa, fanya oda yako toka inchi ambayo inaendana na tabia ya nchi ambayo unakwenda kutumia.

Kwa a naye taka maelezo zaidi nitawasaidia.
Uaminifu upi bro,tutakacho share ni container,supplier na kodi za Tra...tukitoa mzigo kila mtu anachukua wake,tukiagiza in bulk tutasave shipping cost na kupata better price kwa supplier

 
Hivi vitu vyote ni vya kilimo na 0%kodi
Inatakiwa utayalishe documents zako vizuri tu.
 
Na hapo nilikuwa napima ubora wa emitters kuona je zitafanya kazi tofauti? Je bonde lina athari ktk utowaji wake wa maji?
 
Bro unaweza kushare nasi izo HS code za TRA...ili ht mtu akiagiza anampa tu agent wake wa clearing izo HS code inakua rahisi maana ukikosea mwanzoni kubadilisha HS code ni mlolongo na hapo ndipo vijana wa TRA watakapo taka hongo wakusaidie
 
Bro unaweza kushare nasi izo HS code za TRA...ili ht mtu akiagiza anampa tu agent wake wa clearing izo HS code inakua rahisi maana ukikosea mwanzoni kubadilisha HS code ni mlolongo na hapo ndipo vijana wa TRA watakapo taka hongo wakusaidie
Maagent wote wanazijua hizo hs code, na wakikuwekea wazi wewe watakosa ulaji. Ngoja nitafute link nikupe
 
Bro unaweza kushare nasi izo HS code za TRA...ili ht mtu akiagiza anampa tu agent wake wa clearing izo HS code inakua rahisi maana ukikosea mwanzoni kubadilisha HS code ni mlolongo na hapo ndipo vijana wa TRA watakapo taka hongo wakusaidie
Sasa hii kitu unafanya wewe na anayekuuzia kabla ya kufoward kwa agent. Najua watanuna sana.
Mimi bidhaa zangu niliagizia india sababu tabia ya nchi zinalingana kidogo.
Kabla ya kulipia mzigo omba proforma invoice.
Ktk hii invoice lzm aandike hii kitu
WE CERTIFY ALL ABOVE EQUIPMENT IS APPROPRIATE FOR USE IN HORTICULTURE, AGRICULTURE -HS CODE 84248100.
kinachotakiwa ni tarakimu nne za kwanza 8424,zinazofuatia ni area code.
Na ktk description of goods lzm useme drip equipment and fittings for agricultural.
 
Documents zako zote zikubaliane na maelezo ya proforma invoice
 
Thnx mkuu...ila why india and not China...naona km wachina wana bei nzuri zaidi?
 
Thnx mkuu...ila why india and not China...naona km wachina wana bei nzuri zaidi?
China ni ghali,
Alafu inspection yao huendana na vigezo vya hali ya hewa ya kwao kwa hiyo ukileta huku hazidumu sana.
Nilifanya mchanganuo nikaona India wapo poa hata baada ya kupokea mzigo nimejihakikishia.
Na India kuna makampuni mengi sana kuwa mwangalifu.
Kama ukihitaji nilipochukulia mimi nitakupa details zao. Wapo vizuri sana
 
Mi nadhani uki share nasi hio kampuni itakua poa sana
 
Thnx boss...tukiendelea ivi tunaweza kulibadilisha hili taifa ktk kilimo...shida ni kwamba watanzania ni wazito kwenye kufanya maamuzi...tunajivuta sana,tunaangalia risk sana mwisho wa siku hatufanyi au tunafanya kidogo...
 
Na hapo nilikuwa napima ubora wa emitters kuona je zitafanya kazi tofauti? Je bonde lina athari ktk utowaji wake wa maji?
Vipi matokeo yamekuaje? Je bonde liliathiri??

Unatumia pump au tank??
 


Anapatikana na watsp pia.
Kwa lolote nitawasaidia ktk ujenzi wa taifa.
Shukrani kwa kushare nasi!! Je bei zao ziko kwa roll ya mita1000??

Ukilipia wao wanakutafutia agent wa kusafirisha au wewe??

Inachukua muda gani mpaka kufika tz??

Je agents ulimpataje? Na ulimlipa kiasi gani??

Thanks in advance!
 
Shukrani kwa kushare nasi!! Je bei zao ziko kwa roll ya mita1000??

Ukilipia wao wanakutafutia agent wa kusafirisha au wewe??

Inachukua muda gani mpaka kufika tz??

Je agents ulimpataje? Na ulimlipa kiasi gani??

Thanks in advance!
Wanauza kwa mita ngoja nitafute nikutumie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…