Entrepreneurial
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 201
- 134
Finally, naona dalili za waTanzania kuanza kubadilika na kuona maana ya maendeleo kwa upana wake. Dunia ya leo, kwa asilimia kubwa sana, hakuna mipaka kwenye vitu vingi sana, hasa uzalishaji wa chakula. Lakini kabla ya watu wengi sana kufikia jinsi ya kuzitafuta hizo soko, tuanzie hapo kwenye uzalishaji. Na hizi juhudi za mtu mmoja mmoja kuanza kufunguka na kuwa na moyo wa ku share information za kufanikiwa kwenye hatua za uzalishaji kupitia mbinu za kisasa kwa bei nafuu, ni mfano wa kuigwa.Tatzo la watanzania tunaumizana sana...mtu anataka 1.8-2m kwa drip pipes za heka moja while for io hela ukiagiza kutoka china unapata pipes za heka 5....
+86 150 7569 8509 add hio no then anza kuchat na huyo dada watsap mpe requirements zako atakutengenezea design na kukuuzia drip pipes na kukutumia hadi tz unachotakiwa ni kulipia gharama za bandari,wakala na tra utoe mzigo wako...
+8675533556323 hii no ni kwa wale wanaohitaji solar water pump systems kwa wale ambao hawapo karibu na mito...with solar power pump system & drip irrigation u r one point close kua mkulima wa kisasa...Goodluck guys
Tusisahau kwamba changamoto za zahiri na zilizo jificha haikosekani popote pale! Kwa hiyo, pale inapojitokeza/zinapojitokeza, tusianze kuogopa na kurudi nyuma kwa visingizio za kusema/kufikiria kwamba tulikuwa bora tulipo tokea kwani ni ndani ya uelewa wetu au uwezo wetu (in other words, "comfort zone")
Maendelo hayaji kirahisi rahisi tu. Lazima juhudi, fikra na uthubutu haswa ziwepo kwenye hiyo listi ya kufanya, ili kitu kipya kionekane.
Big up! Tanzania mpya tarajiwa na waTanzania wapya watarajiwa pia.