moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
wasifute wakati umeposit matusi? yaani watanzania bwana, halafu ukifutwa utasikia hivi mamod mna nini, sijui mmenionea kweliModerators naomba msiufute uzi huu haufanani na mwingine wowote na unajitegemea.
Tukumbushane tabia yako wakati uko kwenye ujana, ulipokua sekondari au shule ya. Msingi... Au hata kama Sasa bado unafanya huu mchezo.
Zamani tulikua tunaandika kwenye kuta, kwenye seat cover za mabus, AU hata maeneo mengine wenye uzoefu mtayataja na kuandika majina yako au hata matusi wakati mwingine (japo matusi) sio lengo la uzi huu...
Tukumbushe wewe ulishawahi kuandika au kupiga chata wapi??
Je ulikua unatumia mkaa, kalamu, maker pen au nini kwenye kuandika? View attachment 909127View attachment 909128View attachment 909129View attachment 909130
Azania mlikua mnaongoza kwa kupiga machata kwenye magarinlianza kupga chata lang la "valley boy" ktk daladala tangia naanza kidato cha kwanza mpaka namalza kidato cha nne mwaka 2005 ktk shule ya sekondari Bismarck jijin Mwanza, pia nkaendeleza kupga machata kwa kubadili a.k.a na kuandika "caveat emptor" ktk daladala za jijin Dar es Salaam nlipojiunga na shule ya sekondari ya wavulana ya Azania kuanzia kidato cha tano mpaka namalza kidato cha sita mwaka 2008.
πππππAzania mlikua mnaongoza kwa kupiga machata kwenye magari