Special thread: Kwa waliosoma shule moja na viongozi mbali mbali tukutane hapa kujua vituko vyao shuleni

Special thread: Kwa waliosoma shule moja na viongozi mbali mbali tukutane hapa kujua vituko vyao shuleni

Nathan Jr

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2017
Posts
1,437
Reaction score
1,883
Habari za wana jf naona ni vema

Tukiwa wanafunzi tuliamini kwamba labda kijana Fulani kutokana na usmartness wake atakuwa kiongozi Fulani wizarani, au anaweza kuwa kiongozi mkubwa baadae,

Kwa upande wangu nimebatika kusoma shule moja na ridhiwani kikwete

Huyu sifa zake ni kwamba
1. Alikuwa anajituma sana na ni mtu anaye weza sana masomo darasani,

2. Alikuwa Ana hekima ya kulelewa, haikuwa rahis kugundua kama ni mtoto wa waziri kipindi kile, na aliweza sana kuficha identify hiyo,

3. Sikuwahi kuona anapewa adhabu au kuadhibiwa kwa makosa ya siyo kuwa ya msingi. Kama anapata adhabu basi hiyo ilikuwa ya kulikumba darasa zima,

4. Kuna mwalimu mmoja alikuwa anatwambia kwamba siku akikuta waliofanya makosa na ridhiwani yumo basi alikuwa na kigugumizi hata kutoa adhabu, na kama anasamehe kundi basi ni kwa sababu kuna kijana mwenye adabu,

Nakumbuka siku moja tulikuwa na utani sana darasani tukafoji muhuri Fulani ili tuwatanie vijana tarehe moja April siku ya wajinga, tukaandika kuwa wamelipa Ada yote hawadaiwi, sasa kwa ujinga hatukujua kama ni kosa ,

Mimi nikawa nagawa zile receipt kwa wanafunzi tunaoona ni mazuzu, wakapeleka nyumbani lakin wajanja wajagundua tunawatania,wakazichana, sasa ziku ya kufukuza Ada ikafika akaja mwalimu maarufu kwa jina Walter wakaanza kusoma ambao hawajalipa Ada, kuna mdada mmoja mjinga mjinga kumbe Ile receipt kaiweka kwenye shati. Akasema nimeshalipiwa na ridhiwani na **** , msaala ukaanza tukaitwa mpaka kwenye ofis ya mkuu wa shule naye alikuwa mtata kweli, alivyoanza kutuadhibu mwalimu mmoja akaja kwakuwa alimuona ridhiwani pale akasema hata barua zile tulizokuwa tumeandikiwa kufukuzwa wakakaa kujadili. Wakatusamehe ila viboko tukapokea, na mwalimu akatwambia kuwa mmesamehewa kisa huyu,

Si kwamba kwa kuwa ni mtoto wa waziri bali nidhamu yake
Wakati huo tulikuwa na watoto wa vigogo wengi wanafukuzwa tu,


Hivyo tunaomba waliosoma na Makonda,

Waliosoma ma magufuli

Waliosoma na kikwete

Waliosoma na Nape

Au kiongozi yeyote weka hapa na tabia yake ya utotoni
 
Dah kumbe kufoji mmeanza kitambo Lumumba. Anyway mi nilisoma na kingunge, alikuwa anakuja na ngozi ya mkia wa mbuzi siku ya mtihani ili kupigia mstari kwenye mtihani mana alikuwa ameinyoosha ngozi ile na kuikausha kama rula,
 
MWIGULU NCHEMBA alikuwa anaweza sana darasani, na aliwaogopa sana aanawake, nakumbuka alipenda sana economics, mwalimu kabla hajamaliza kufundisha anauliza nchemba unasemaje , anasimama na kitabu chake anaanza kudondosha nondo, kwa kifupi jamaa ni bright sana,
Siku moja kwenye paper wengine tumetumia booklet Moja ye anaandika uku amenyoosha mkono wa kushoto anaomba ya tatu inamaana ya pili pia Imejaa,
 
Me mimesoma na John,nakumbuka alikua mchoyo sana darasani

Siku moja bhana ilikua mtihani wa mid term nimekaa nyuma yake nikaomba anisaidie swali la 3(nafikiri atakumbuka hili tukio)akasema hajajaza kumbe kamaliza maswali yote,sasa cha ajabu siku majibu yanarudi ana 0% kumbe alikariri paper lililopita akidhani yatakuja vile vile
.
.
Ni mchoyo tangu shule hataki mwingine afanikiwe ilihal mwenyewe anaharibu
 
Nimesoma na bonaface jacob shule inaitwa parane sec huyu mjinga kwanza alikuwa kiongozi sasa yeye yupo form 4 mimi form one mjinga alikuwa anatupiga mikanda huyu ...ile asubuh sa 11:50 anavyoamsha watu basi akikukuta umelala nimikanda tu na bahati mbaya waliruhusu viongozi kupiga wanafunzi mikanda...sitamsahau meya wa ubungo...ameingia kwenye siasa ila kachagua chama sahihi kwake kulingana na hulka yake ya ubabe
 
MWIGULU NCHEMBA alikuwa anaweza sana darasani, na aliwaogopa sana aanawake, nakumbuka alipenda sana economics, mwalimu kabla hajamaliza kufundisha anauliza nchemba unasemaje , anasimama na kitabu chake anaanza kudondosha nondo, kwa kifupi jamaa ni bright sana,
Siku moja kwenye paper wengine tumetumia booklet Moja ye anaandika uku amenyoosha mkono wa kushoto anaomba ya tatu inamaana ya pili pia Imejaa,
John Marcela au mnyika?
 
***** nimesoma na bonaface jacob shule inaitwa parane sec huyu mjinga kwanza alikuwa kiongozi sasa yeye yupo form 4 mimi form one mjinga alikuwa anatupiga mikanda huyu ...ile asubuh sa 11:50 anavyoamsha watu basi akikukuta umelala nimikanda tu na bahati mbaya waliruhusu viongozi kupiga wanafunzi mikanda...sitamsahau meya wa ubungo...ameingia kwenye siasa ila kachagua chama sahihi kwake kulingana na hulka yake ya ubabe
Huyu wa kamati ya madili au nani
 
Kuna aliyesoma na huyu....
1.Waziri-wa-afyaMaendeleo-ya-jamii-Wazee-na-watoto-Ummy-Mwalimu-akisoma-taarifa-yake..jpg
 
Mi nimesoma na wenje geita sec. Alikuwa mtu wa kawaida tu. But alikuwa anajipenda sana. Na alikuwa anajiweza pia darasani. Ila jioni kijiweni alipenda kuchambua mambo ya siasa. Nlisoma pia geita sec na godwin gondwe japo wakati naingia yeye alikuwa anamaliza.
 
Mi nimesoma na wenje geita sec. Alikuwa mtu wa kawaida tu. But alikuwa anajipenda sana. Na alikuwa anajiweza pia darasani. Ila jioni kijiweni alipenda kuchambua mambo ya siasa. Nlisoma pia geita sec na godwin gondwe japo wakati naingia yeye alikuwa anamaliza.
Yes wenje ni kweli nasikia hata mmea akipiga
 
Dah kumbe kufoji mmeanza kitambo Lumumba. Anyway mi nilisoma na kingunge, alikuwa anakuja na ngozi ya mkia wa mbuzi siku ya mtihani ili kupigia mstari kwenye mtihani mana alikuwa ameinyoosha ngozi ile na kuikausha kama rula,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom