Nathan Jr
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 1,437
- 1,883
Habari za wana jf naona ni vema
Tukiwa wanafunzi tuliamini kwamba labda kijana Fulani kutokana na usmartness wake atakuwa kiongozi Fulani wizarani, au anaweza kuwa kiongozi mkubwa baadae,
Kwa upande wangu nimebatika kusoma shule moja na ridhiwani kikwete
Huyu sifa zake ni kwamba
1. Alikuwa anajituma sana na ni mtu anaye weza sana masomo darasani,
2. Alikuwa Ana hekima ya kulelewa, haikuwa rahis kugundua kama ni mtoto wa waziri kipindi kile, na aliweza sana kuficha identify hiyo,
3. Sikuwahi kuona anapewa adhabu au kuadhibiwa kwa makosa ya siyo kuwa ya msingi. Kama anapata adhabu basi hiyo ilikuwa ya kulikumba darasa zima,
4. Kuna mwalimu mmoja alikuwa anatwambia kwamba siku akikuta waliofanya makosa na ridhiwani yumo basi alikuwa na kigugumizi hata kutoa adhabu, na kama anasamehe kundi basi ni kwa sababu kuna kijana mwenye adabu,
Nakumbuka siku moja tulikuwa na utani sana darasani tukafoji muhuri Fulani ili tuwatanie vijana tarehe moja April siku ya wajinga, tukaandika kuwa wamelipa Ada yote hawadaiwi, sasa kwa ujinga hatukujua kama ni kosa ,
Mimi nikawa nagawa zile receipt kwa wanafunzi tunaoona ni mazuzu, wakapeleka nyumbani lakin wajanja wajagundua tunawatania,wakazichana, sasa ziku ya kufukuza Ada ikafika akaja mwalimu maarufu kwa jina Walter wakaanza kusoma ambao hawajalipa Ada, kuna mdada mmoja mjinga mjinga kumbe Ile receipt kaiweka kwenye shati. Akasema nimeshalipiwa na ridhiwani na **** , msaala ukaanza tukaitwa mpaka kwenye ofis ya mkuu wa shule naye alikuwa mtata kweli, alivyoanza kutuadhibu mwalimu mmoja akaja kwakuwa alimuona ridhiwani pale akasema hata barua zile tulizokuwa tumeandikiwa kufukuzwa wakakaa kujadili. Wakatusamehe ila viboko tukapokea, na mwalimu akatwambia kuwa mmesamehewa kisa huyu,
Si kwamba kwa kuwa ni mtoto wa waziri bali nidhamu yake
Wakati huo tulikuwa na watoto wa vigogo wengi wanafukuzwa tu,
Hivyo tunaomba waliosoma na Makonda,
Waliosoma ma magufuli
Waliosoma na kikwete
Waliosoma na Nape
Au kiongozi yeyote weka hapa na tabia yake ya utotoni
Tukiwa wanafunzi tuliamini kwamba labda kijana Fulani kutokana na usmartness wake atakuwa kiongozi Fulani wizarani, au anaweza kuwa kiongozi mkubwa baadae,
Kwa upande wangu nimebatika kusoma shule moja na ridhiwani kikwete
Huyu sifa zake ni kwamba
1. Alikuwa anajituma sana na ni mtu anaye weza sana masomo darasani,
2. Alikuwa Ana hekima ya kulelewa, haikuwa rahis kugundua kama ni mtoto wa waziri kipindi kile, na aliweza sana kuficha identify hiyo,
3. Sikuwahi kuona anapewa adhabu au kuadhibiwa kwa makosa ya siyo kuwa ya msingi. Kama anapata adhabu basi hiyo ilikuwa ya kulikumba darasa zima,
4. Kuna mwalimu mmoja alikuwa anatwambia kwamba siku akikuta waliofanya makosa na ridhiwani yumo basi alikuwa na kigugumizi hata kutoa adhabu, na kama anasamehe kundi basi ni kwa sababu kuna kijana mwenye adabu,
Nakumbuka siku moja tulikuwa na utani sana darasani tukafoji muhuri Fulani ili tuwatanie vijana tarehe moja April siku ya wajinga, tukaandika kuwa wamelipa Ada yote hawadaiwi, sasa kwa ujinga hatukujua kama ni kosa ,
Mimi nikawa nagawa zile receipt kwa wanafunzi tunaoona ni mazuzu, wakapeleka nyumbani lakin wajanja wajagundua tunawatania,wakazichana, sasa ziku ya kufukuza Ada ikafika akaja mwalimu maarufu kwa jina Walter wakaanza kusoma ambao hawajalipa Ada, kuna mdada mmoja mjinga mjinga kumbe Ile receipt kaiweka kwenye shati. Akasema nimeshalipiwa na ridhiwani na **** , msaala ukaanza tukaitwa mpaka kwenye ofis ya mkuu wa shule naye alikuwa mtata kweli, alivyoanza kutuadhibu mwalimu mmoja akaja kwakuwa alimuona ridhiwani pale akasema hata barua zile tulizokuwa tumeandikiwa kufukuzwa wakakaa kujadili. Wakatusamehe ila viboko tukapokea, na mwalimu akatwambia kuwa mmesamehewa kisa huyu,
Si kwamba kwa kuwa ni mtoto wa waziri bali nidhamu yake
Wakati huo tulikuwa na watoto wa vigogo wengi wanafukuzwa tu,
Hivyo tunaomba waliosoma na Makonda,
Waliosoma ma magufuli
Waliosoma na kikwete
Waliosoma na Nape
Au kiongozi yeyote weka hapa na tabia yake ya utotoni