Dragoon
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 7,012
- 8,139
Huyu Mbona chuoni alikuwa kilaza tu?Kwa upande wangu nimebatika kusoma shule moja na ridhiwani kikwete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Mbona chuoni alikuwa kilaza tu?Kwa upande wangu nimebatika kusoma shule moja na ridhiwani kikwete
Laivu. Nahisi asingekuwa mtoto wa waziri (kipindi kile) angepata hata DISCO. Halafu alikuwa hapendi populality. Ila mademu walimkoma, alipiga karibia darasa zima.Acha WEWE
😀 😀 😀 😀 😀 😀Me mimesoma na John,nakumbuka alikua mchoyo sana darasani
Siku moja bhana ilikua mtihani wa mid term nimekaa nyuma yake nikaomba anisaidie swali la 3(nafikiri atakumbuka hili tukio)akasema hajajaza kumbe kamaliza maswali yote,sasa cha ajabu siku majibu yanarudi ana 0% kumbe alikariri paper lililopita akidhani yatakuja vile vile
.
.
Ni mchoyo tangu shule hataki mwingine afanikiwe ilihal mwenyewe anaharibu
😀 😀 😀 😀 😀 😀Dah kumbe kufoji mmeanza kitambo Lumumba. Anyway mi nilisoma na kingunge, alikuwa anakuja na ngozi ya mkia wa mbuzi siku ya mtihani ili kupigia mstari kwenye mtihani mana alikuwa ameinyoosha ngozi ile na kuikausha kama rula,
mkuu kazi TPB nliacha kuna mahali nipoNdo ukaajiriwa TPB?
Amefoji flashnilisoma na nassari alikuwa anamchukua montress.alikuwa mchoraji darasa zima halafu full vituko
Twambie tabia yake nzuri ambayo uliipenda akiwa shule, na madhaifu yake , usimuonee wala kumpendeleaNimesoma na kufanya kazi kwa muda mfupi na Ndugai.
nilimshauri auze gari lake ili awekeze katika siasa maana alipekuwa akipenda sana siasa.
Mimi nilisoma na makonda lakini sio huyu mkuu wa mkoa, makonda alikuwa na akili sana darasani, chakushanganza eti alimuuzia vyeti Albert bashiteHabari za wana jf naona ni vema
Tukiwa wanafunzi tuliamini kwamba labda kijana Fulani kutokana na usmartness wake atakuwa kiongozi Fulani wizarani, au anaweza kuwa kiongozi mkubwa baadae,
Kwa upande wangu nimebatika kusoma shule moja na ridhiwani kikwete
Huyu sifa zake ni kwamba
1. Alikuwa anajituma sana na ni mtu anaye weza sana masomo darasani,
2. Alikuwa Ana hekima ya kulelewa, haikuwa rais kugundua kama ni mtoto wa waziri kipindi kile, na aliweza sana kuficha identify hiyo,
3. Sikuwahi kuona anapewa adhabu au kuadhibiwa kwa makosa ya siyo kuwa ya msingi. Kama anapata adhabu basi hiyo ilikuwa ya kulikumba darasa zima,
4. Kuna mwalimu mmoja alikuwa anatwambia kwamba siku akikuta waliofanya makosa na ridhiwani yumo basi alikuwa na kigugumizi hata kutoa adhabu, na kama anasamehe kundi basi ni kwa sababu kuna kijana mwenye adabu,
Nakumbuka siku moja tulikuwa na utani sana darasani tukafoji muhuri Fulani ili tuwatanie vijana tarehe moja April siku ya wajinga, tukaandika kuwa wamelipa Ada yote hawadaiwi, sasa kwa ujinga hatukujua kama ni kosa ,
Mimi nikawa nagawa zile receipt kwa wanafunzi tunaoona ni mazuzu, wakapeleka nyumbani lakin wajanja wajagundua tunawatania,wakazichana, sasa ziku ya kufukuza Ada ikafika akaja mwalimu maarufu kwa jina Walter wakaanza kusoma ambao hawajalipa Ada, kuna mdada mmoja mjinga mjinga kumbe Ile receipt kaiweka kwenye shati. Akasema nimeshalipiwa na ridhiwani na **** , msaala ukaanza tukaitwa mpaka kwenye ofis ya mkuu wa shule naye alikuwa mtata kweli, alivyoanza kutuadhibu mwalimu mmoja akaja kwakuwa alimuona ridhiwani pale akasema hata barua zile tulizokuwa tumeandikiwa kufukuzwa wakakaa kujadili. Wakatusamehe ila viboko tukapokea, na mwalimu akatwambia kuwa mmesamehewa kisa huyu,
Si kwamba kwa kuwa ni mtoto wa waziri bali nidhamu yake
Wakati huo tulikuwa na watoto wa vigogo wengi wanafukuzwa tu,
Hivyo tunaomba waliosoma na Makonda,
Waliosoma ma magufuli
Waliosoma na kikwete
Waliosoma na Nape
Au kiongozi yeyote weka hapa na tabia yake ya utotoni
Nilisoma na Julius Mtatiro, alikuwa kiongozi wa chakula alafu mtata kweli yule mkurya. Alikuwa akimdate dada mmoja anaitwa Grace na ilijulikana hadi na walimu ila hata hakufanywa lolote. Sijui ndio alikuja kumuoa!!
ha ha ha haaa!!!! atakuwa John mnyika huyo.Me mimesoma na John,nakumbuka alikua mchoyo sana darasani
Siku moja bhana ilikua mtihani wa mid term nimekaa nyuma yake nikaomba anisaidie swali la 3(nafikiri atakumbuka hili tukio)akasema hajajaza kumbe kamaliza maswali yote,sasa cha ajabu siku majibu yanarudi ana 0% kumbe alikariri paper lililopita akidhani yatakuja vile vile
.
.
Ni mchoyo tangu shule hataki mwingine afanikiwe ilihal mwenyewe anaharibu
Mtata sana yule jamaa, sikuwahi kumshuhudia akicheka.Ha ha ha, Mtatiro alikuwa kiongozi wa Mambo ya Mikopo UD, jamaa alikuwa anapenda issue za migomo sana, yaani yeye utatuzi wake wa swala lolote ni mgomo tu.