Special thread: Kwa waliosoma shule moja na viongozi mbali mbali tukutane hapa kujua vituko vyao shuleni

😀 😀 😀 😀 😀 😀
 
Dah kumbe kufoji mmeanza kitambo Lumumba. Anyway mi nilisoma na kingunge, alikuwa anakuja na ngozi ya mkia wa mbuzi siku ya mtihani ili kupigia mstari kwenye mtihani mana alikuwa ameinyoosha ngozi ile na kuikausha kama rula,
😀 😀 😀 😀 😀 😀
 
Deo Filikunjombe(RIP) John Nchimbi,Kichele(tra) wapo kama walivyo sasa ila more advanced.
Pia nimesoma na majambazi napaswa kuwataja maana nao ni viongozi katika himaya zao?japo wengi marehemu sasa na marehemu hatajwi kwa mabaya
 
Nkmesoma na Makonda anapenda.

Ni mzuri kwa somo la kiswahili na kingereza tatizo anapendaa uongozi. Mambo ya security w shule anayapenda sana na anapenda kuheshimiwa KUZID hata headmaster
Kumbe
 
Nimesoma na kufanya kazi kwa muda mfupi na Ndugai.
nilimshauri auze gari lake ili awekeze katika siasa maana alipekuwa akipenda sana siasa.
Twambie tabia yake nzuri ambayo uliipenda akiwa shule, na madhaifu yake , usimuonee wala kumpendelea
 
Mimi nilisoma na makonda lakini sio huyu mkuu wa mkoa, makonda alikuwa na akili sana darasani, chakushanganza eti alimuuzia vyeti Albert bashite
 
Nimesoma na Kamanda mpya wa Traffic jamaa wa Musoma Mara.
Ubabe wake tangu chuo. Mpirani sasa! Mtemi kweli.
Upolisi unamfaa.
Vema sana ni kamanda nani, mpunga au nani
 
Nilisoma na Julius Mtatiro, alikuwa kiongozi wa chakula alafu mtata kweli yule mkurya. Alikuwa akimdate dada mmoja anaitwa Grace na ilijulikana hadi na walimu ila hata hakufanywa lolote. Sijui ndio alikuja kumuoa!!
 
Nilisoma na Julius Mtatiro, alikuwa kiongozi wa chakula alafu mtata kweli yule mkurya. Alikuwa akimdate dada mmoja anaitwa Grace na ilijulikana hadi na walimu ila hata hakufanywa lolote. Sijui ndio alikuja kumuoa!!

Ha ha ha, Mtatiro alikuwa kiongozi wa Mambo ya Mikopo UD, jamaa alikuwa anapenda issue za migomo sana, yaani yeye utatuzi wake wa swala lolote ni mgomo tu.
 
Rtd General Davis Mwamunyange......Mawenzi Secondary School:1967 to 1970.
Alikuwa mpole na kichwa yake imejaa vitu....ni namba moja tu miaka yote hiyo,hajawahi kuwa wa pili.
Hekima na busara tokea shule alikuwa nazo.
 
ha ha ha haaa!!!! atakuwa John mnyika huyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…