Special Thread: Kwa Wazawa wa Singida tukutane hapa

Ndugu naomba utakapopata taarifa zaidi nijulishe hasa jina la kitabu husika,inawezekana nikakipata hata soft copy.
Pia nashukuru kwa taarifa yako [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Kipo kuna mtu nilisikia anauza ila nimemsahau jina ila Lissu naye alishakipigia promo siku za nyuma

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa hata kama hana hela ila ni smart sana ila sasa kitandani wanajua kutukomesha wanyaturu wamejaliwa mm siwataki kabisaa mtu ana bololoo kama mkono wa mtoto agrrrrr
Ukajua ni mwarabu eeeh..maana wanajua kupendeza haoooo Asilimia 80 wote ni smart wanajua utanashati haswaaa...UKAJICHANGANYA MASKINI kwa mnyampaaa hahahaha Demissssssssssss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…