Special Thread: Kwa Wazawa wa Singida tukutane hapa

Special Thread: Kwa Wazawa wa Singida tukutane hapa

Nilikuja singida mwezi wa2 mwishoni nikarudi wa tatu mwanzoni
Nmekaa siku2 ila nmepapenda singida.
Nmefika mpaka sekondari ya idisya ikungi
Kuna kila aina ya kitu nmachokihitaji.
Hali yahewa kama Dar
Nyumba za mjini pale zimetulia mno
Kuko tambarare.
Natazamia kuja kuishi singidani mambo yakikaa sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanyaturu nahamia mtaa huu soon
20190301_102559.jpeg
20190301_110804.jpeg
20190301_102703.jpeg
20190301_102633.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Ndege JOHN mi kijiwe chetu kilikuwepo pale mrumbani kwa juu tulikiita SNC(Singida niggers camp)tulikuwa tunauza bangi Singida nzima,ukija unakutana na Mzee baba Sakume kauzu
 
Wengine humu wamezungumzia umalaya ya wasichana wa singida ,,mi Nina miaka nane sa hivi naishi hapa singida sijaona hilo labda kwa vile sijui kutongoza ..lakini sidhani kuna mji ambao hakuna malaya ,Malaya wapo kila sehm ukienda Mwanza,Musoma,arusha,tena Dar ndio wengi utafikiri ndio kuna soko kuu .. So kuwaita watu Malaya kutokana na kabila lao sio sahihi, wote Malaya sa ivi, wasukuma,wagogo ,wakurya wazaramo na wengine wote unaowafahamu..ila hii utokana na tabia ya MTU binafs alivyozaliwa wala haihusiani na kabila lake...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kumbe wewe mnyaturu,,ninae dada yako wa kinyaturu huku

hujakosea shemeji ,,wanyaturu kwa mbege hamjambo

ila mademu wa kinyaturu wazuri

'Everything rises and falls on leadership'
 
Wanyaturu mabinti wanapenda kuliwa hata umpe nyumba na gari akirud kwao lazima akaliwe kibaya zaid hata nyumba nzima unaweza kula ila wamekeketwa sana asilimia kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom