Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wakuu,
Wakati zoezi la kupiga kura linaendelea vitendo vya uchakachuaji na malalamiko ya kuonewa wakati wa uchaguzi huwa havikosekani.
Pia soma: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Uzi huu utakuwa maalum kurekodi matukio haya kadri yatakavyotokea na kuyapata
Wakati zoezi la kupiga kura linaendelea vitendo vya uchakachuaji na malalamiko ya kuonewa wakati wa uchaguzi huwa havikosekani.
Pia soma: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Uzi huu utakuwa maalum kurekodi matukio haya kadri yatakavyotokea na kuyapata
- LGE2024 - Kituo cha Kupigia Kura cha Lugalo, Kawe chakutwa na Maboksi ya Kura zilizopigwa kabla ya muda wa kupiga kura
- LGE2024 - Chalamila: Kumbe Kuna uchawi kwenye uchaguzi, nimeshangaa kusikia huo muujiza wa watu kupiga kura kabla vituo havijafunguliwa
- LGE2024 - Kigoma: Kura feki zakamatwa Mwandiga
- LGE2024 - Kigoma: Mgombea adaiwa kukamatwa na kura feki
- LGE2024 - Simiyu: Karatasi za kupigia Kura zakamatwa zikiwa zimewekewa tiki kwa wagombea wa CCM
- LGE2024 - Kituo cha Kupigia Kura cha Lugalo, Kawe chakutwa na Maboksi ya Kura zilizopigwa kabla ya muda wa kupiga kura
- LGE2024 - Mbeya: Mkurugenzi adaiwa kusitisha Uchaguzi eneo la Ubaruku bila taarifa yoyote
- LGE2024 - Mbeya: Vituo vya kupigia kura havina ukaguzi wa majina Kwenye daftari, kila mtu anapiga tu
- LGE2024 - TANZIA - Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024
- LGE2024 - Kigamboni: Majina ya wapiga kura Mtaa wa Upendo hayasomeki vizuri na kutopangwa kwa kufuata alfabeti imekuwa ni changamoto sana leo
- LGE2024 - Mikumi: Kata 8 hazijaanza kupiga kura, msimamizi adaiwa kutopokea simu
- LGE2024 - Mikumi: Joseph Haule adai mpaka majira ya Saa nne baadhi ya vituo vya Mikumi havijafunguliwa na karatasi za kupigia kura hazijafika
- LGE2024 - Dodoma: Mwenyekiti CHADEMA azichapa, apora daftari la wapiga kura baada ya kubaini kuna rafu
- LGE2024 - TANZIA - Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024
- LGE2024 - Kigoma: Zitto apiga kura uchaguzi serikali za mitaa, azungumzia kura bandia kukamatwa
- LGE2024 - Mbeya: Vituo vya kupigia kura havina ukaguzi wa majina Kwenye daftari, kila mtu anapiga tu
- LGE2024 - Geita: Mawakala, Wapiga kura wavurugana katika kituo cha kupiga kura cha Mwatulole Center yadaiwa Mwanafunzi asiye na miaka 18 apiga kura
- LGE2024 - Mara: Wananchi walalamika majina kushindwa kusomeka, wakaa muda mrefu bila kupiga kura
- LGE2024 - CHADEMA Iringa mjini wasusia Uchaguzi Serikali za Mitaa
- https://www.jamiiforums.com/threads...amata-kura-feki-za-serikali-za-mitaa.2281760/
- LGE2024 - Mwanza: Nane mbaroni kwa kukimbia na kura za mwenyekiti
- LGE2024 - Mwanza: Nane mbaroni kwa kukimbia na kura za mwenyekiti
- LGE2024 - Shinyanga: Kura bandia zadaiwa kukamatwa
- LGE2024 - Dar: CHADEMA wasusia uchaguzi Temeke, wawaondoa mawakala wao vituoni
- LGE2024 - Arusha: Godbless Lema ameamua kususia na kujitenga kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa
- LGE2024 - TANZIA - Mgombea CHADEMA nafasi ya Ujumbe Kata ya Gongo la Mboto afariki kwa kipigo cha polisi
- LGE2024 - Freeman Mbowe: Tunalaani mauaji na kujeruhiwa kwa wagombea, viongozi na wanachama wetu kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
- LGE2024 - Nimevunjika moyo na uchaguzi huu wa leo
- LGE2024 - Songwe: CHADEMA Momba wajitoa kwenye uchaguzi
- LGE2024 - Kigoma: Wananchi wafanya vurugu kituo cha kupiga kura
- LGE2024 - Tabora: Tuhuma za wakala CHADEMA kutolewa kituoni zakanushwa
- LGE2024 - Tetesi: - Polisi Karatu na Green Guard wadaiwa kupora Masanduku ya kura na kutangaza Wagombea wa CCM
- LGE2024 - ACT Wazalendo: Wakala wetu wa Bunda ameshambuliwa na kuumizwa kisha amepelekwa Polisi, wanadai amefanya fujo
- LGE2024 - Frank Nyalusi: Katibu wa CHADEMA Kata ya Ilala (Iringa) amechomwa visu mbele ya Askari na Msimamizi wa Uchaguzi
- LGE2024 - Mwanza: Wakala na wagombea wa CHADEMA wakamatwa na Jeshi La Polisi kwa kuchukua boksi la kura kituoni
- LGE2024 - Songwe: Mwenyekiti CCM achomwa kisu cha utosi, Polisi yawakamata Viongozi wawili CHADEMA
- LGE2024 - Katavi: Mgombea Mpanda adai amepigwa na Diwani, Polisi Kata asema hana uwezo wa kumsaidia
- LGE2024 - Polisi: Aliyekuwa mgombea wa CHADEMA hakutekwa, alijificha ili asigombee nafasi ya Uenyekiti wa Mtaa
- LGE2024 - Lindi: Zitto alalamika matokeo ya Kilwa Kusini kutotangazwa licha ya ACT kushinda baada ya kuzuiwa na Askari
- LGE2024 - Tabora: Tuhuma za wakala CHADEMA kutolewa kituoni zakanushwa
- LGE2024 - ACT Wazalendo waelezea rafu walizokutana nazo katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa