Best player worldcup tournamentkwanza ni wa ovyo sana akiichezea Argentina
kwanza ni wa ovyo sana akiichezea Argentina
Best player worldcup tournament
Best player michuano ya south america
Final 3
Haha wa hovyo akiwa Argentina ,ndugu muone daktari akupe dawa ya kupunguza chuki
Mbona hujiulizi 2014 Ronaldo/Real Madrid walitoka kapa hata kombe la kahawa hawakuchukua ila ballon dor alipewa ronaldo mbona hauhoji utata huoHizo fainali 3 za argentina alizoingia si kafungwa zote.? Tena na Brazil.
Halafu hiyo unayoita best player yafaa nini na huku kombe hujachukua.? Nitajie mchezaji mwingine aliyepewa tuzo ya best player katika mashindano yoyote na huku hajachukua kombe. Ndo ujue messi kuna baadhi ya tuzo kabebwa.
Kama balon dor ya 2010 ilikuwa full utata. Hata haieleweki alipewa ile uzo kwa kigezo kipi. Maana kama unakumbuka mwaka huo, Barcelona walikosa UEFA, UCL alichukua inter, World cup walichukua Spain kwa kuifung uholanzi fainali, Magoli ya world cup waliongoza Muller na Sneijder. Huku argentina ikitoka 16 bora. Yaani ni full fitna ilikuwa.
Mbona hujiulizi 2014 Ronaldo/Real Madrid walitoka kapa hata kombe la kahawa hawakuchukua ila ballon dor alipewa ronaldo mbona hauhoji utata huo
Hoja ya pili world cup ya 2006 mchezaji bora alikuwa zidane wakati kombe walichukua Italy hivyo alipendelewa kwa point yako au ?
Mwisho kufika fainali tu kwenye michuano hio mikibwa lazima utoe appreciation
2013 messi alishinda la liga na copa ,ribery alishinda uefaNitajie Carlo Anceloti alichukua UCL na real madrid mwaka gani.?
Una uhakika Zidane alikuwa mchezaji bora 2006.? na Fabio canavaro alipewa tuzo ipi.?
Mpira umeanza kuuangalia lini? Ukijibu hapo nitakuwa nimepata namna ya kukufafanulia zaid
Mimi ni Barca damu, ila ukome kulinganisha Gaucho na vitu vya kijinga
Sent using Jamii Forums mobile app
2013 messi alishinda la liga na copa , ribery alishinda uefa
Ronaldo alitoka kapa ila alichukua mpaka ribery aliongea sana
2006 cannavaro alibeba ballon dor ila mchezaji bora wa michuano alikuwa zizzou
Tumerudi kwenye hoja ya msingiUmesahau top scorer kwa misimu yote hiyo alikuwa nani.? Ribery alichukua UCL lakini hakukuwa na uspecial wowote ule. CR7 msimu ule ndo alitikisa kwa kuvunja rekodi ya kufunga goli 17 za UCL, huku akiwa na goli za kumwaga La liga
Tumerudi kwenye hoja ya msingi
2010 messi alifikisha magoli 92 na kuvunja rekodi ya guerd muller