Special thread : Messi Magics


Mkuu. Umemsahau Dybala.
 
Dybala anaujua lakini kuna hii Hapa angalia Messi alichomfanyia



Teh teh teh teh___ndiomaana nikasema "ni dhambi kubwa kumlinganisha KING MESSI na michezaji iliopita na ya sasa. Wengine imefikia kumlinganisha na MAUNO. gaucho/Mauno wapi na KING MESSI wapi___ ni heri ukutane na mbweha lakini sio LION MESSI.
 
Jamaa ana kipaji Na maarifa,speed&accuracy ya kipekee ktk football,Huyu kiumbe anachezesha timu sio utani,anafanya kazi zaidi ya inavyobidi iwe kwa maana MTU mmoja in kama watu 4!
Sijui labda Hugo Pele maana hatukuwahi kumshuhudia kwa miaka hiyo lkn kwa wengi waliofuata hadi sasa,Hakuna kama Messi!
Kwa Mashahidi waliotazama 2nd Leg ya kombe la mfalme Spain usiku wa alhamis hii Barca dhidi ya Espanyol (2-0)Na hata mechi ya barca ya ligi wiki iliopita watakubaliana nami.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…