Waseme
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,603
- 4,082
Nikusaidie kumtagipo,,😜Mbona sasa mie sijammiss mtu 🤣
Au basi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikusaidie kumtagipo,,😜Mbona sasa mie sijammiss mtu 🤣
Not anymore babe 🤣🤣🤣🤣Nikusaidie kumtagipo,,😜
Au basi!!
Wapi wewe siwezi kumbembeleza mtu mie!!Not anymore babe 🤣🤣🤣🤣
Maake hapo kwanza ncheke 🤣Wapi wewe siwezi kumbembeleza mtu mie!!
Macho yacheka moyo unaumaaMaake hapo kwanza ncheke 🤣
I met someone like that a while ago. Right here in JF.Hatukugombana, tuliwasiliana tu vizuri then few hrs later akawa harespond nikjua labda atakua busy, next day passed hakupatikana mpaka na leo, I do not know what happened to him
Yeah sure! Kumbukiz haswaaTutengeneze kumbukizi basi za ku missiana...
Poleni sana wenye kumbukizi...
🤣🤣 you want me to confess??Macho yacheka moyo unaumaa
Come clean babe; its not illegal ujue!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤐🤣🤣 you want me to confess??
Haki ya kweli sijammiss
That day nilikuwa nakuzingua tu 😎
Moyo wa mtu kichaka!!!🤣🤣 you want me to confess??
Haki ya kweli sijammiss
That day nilikuwa nakuzingua tu 😎
Tena ni AmazonMoyo wa mtu kichaka!!!
Zai alikua rafiki wa kweliRafiki yangu zai..najua utakua tu humu...
Tulikutana hostel 2013..nilikupenda Sana hakii Tena ..ulikua na moyo wa kipekee mno ..licha ya uzuri wa kiburushi na kishirazi ulipewa moyo mzuri mnoo...ulinipenda shoga ako pasi kujali mood swing zangu😂😂😂😂....hukua mtu wa kuweka vitu moyoni nikivurunda unanichana..gumu lako langu langu lako..chako changu changu chako..mfanya assignment zangu🤗🤗..Jamani nyiee zai..ulikuwa rafiki wa wengi na dada wa wengi..ulinibadilisha mnooo
Nakumbuka Kuna siku nimetoka home na dumu la Mafuta na viazi vingi..kiutani utani ukaniambia kesho tutaanza kupika kachori🤣🤣🤣🤣 nilikuangalia nikacheka mnoo nikajua unatania siku iliyofuata ukaniamsha asubuhi na mapema tuandae kachori nilichukia lakini Basi tu ningefanyaje🤣🤣🤣🤣..nakumbuka tulipokua tunaenda kuuza kachori hostel za jirani nilikua najificha nyuma yako 🤦🤦...ukaniambia nisiwe na aibu kwenye kutafuta ili hali hatufanyi dhulma😂😂😂😂(kwenye hii biashara ulinifunza vitu vizuri mno)
Wewe Dada Nina mengi ya kukuambia ..umenifunza mengi mnooo Yani mnooooo...nakumbuka mara ya mwisho kuwasiliana nawe ilikua mwaka 2016 ukanitumia picha yako ya ujauzito ukanambia upo oman umeolewa ila utarudi zanzibar..(hatimaye ndoto yako ya kuolewa na kuwa Mama ilitimia).I miss you so much dear Z.A
Nimemiss moments za kuzurura kkoo kwenda kuchukua vitu vya bure kwenye maduka ya ndugu zako 🤣🤣🤣🤣
Ni Mimi rafikiyo c kibonge😂😂
Sikuwezi mpenzi!!Tena ni Amazon
🤓
Confess basi
Kuwa you missed your Depa 😝
Tena mnooo..mnooo😍Zai alikua rafiki wa kweli
😁😁😁 tuadithie basi kwa namna ulivyommiss yule jamaaSikuwezi mpenzi!!
ligi zako ni hatari 😜
Kifua kama cha Mauzinde!!!😁😁😁 tuadithie basi kwa namna ulivyommiss yule jamaa
🤣🤣🤣🤣Kifua kama cha Mauzinde!!!
Anzisha Uzi🤣🤣Kumbe jf kuna malove story hatari. Mbona hamkusema mapema
Vipi,alikupiga kitu?Kuna huyu mkaka nilimpenda..nilimpenda Sana 😂😂inatosha kwa leo.