Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Muulize si rafiki yako[emoji1787][emoji1787]Shetani mwenyewe anasemaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize si rafiki yako[emoji1787][emoji1787]Shetani mwenyewe anasemaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aah hilo nalo limenikuza sana bwana, tafuta lingine.Ondoa shaka madam!
Wewe na mwenzio nani?Unatukosea Shem...Unakosea...
Watoto gani tena hapa[emoji23]
Sisi ni wale Ma Aunties wa Bunju[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Doh!!!Muulize si rafiki yako[emoji1787][emoji1787]
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Wewe na mwenzio nani?
Mie mtoto, usinizeeshe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sanaKitambo kidogo Kuna kadada kaliomba one night stand humuhumu kwenye majamvi yetu siku kadhaa kabla ya Valentine...
Tulikubaliana hakuna kutumiana picha tutakachokutana ni hicho sababu ni one night stand haidhuru.
Tulikua tunaongea sana kwenye simu nikajikuta nimempenda,ila siku moja tu alitoweka hewani na jf hapatikani mpaka leo.
Hebu nipe sasa jina unalolipenda..Aah hilo nalo limenikuza sana bwana, tafuta lingine.
ShukranPole sana
Fumba majicho, utapata trakoma.[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Tatizo ni ule ukanda unaotokea.Hebu nipe sasa jina unalolipenda..
Mana mi sikogo romantic ujue [emoji38]
Pole sanaKitambo kidogo Kuna kadada kaliomba one night stand humuhumu kwenye majamvi yetu siku kadhaa kabla ya Valentine...
Tulikubaliana hakuna kutumiana picha tutakachokutana ni hicho sababu ni one night stand haidhuru.
Tulikua tunaongea sana kwenye simu nikajikuta nimempenda,ila siku moja tu alitoweka hewani na jf hapatikani mpaka leo.
Hilo somo nilishafeli,Tatizo ni ule ukanda unaotokea.
Tafuta tu kajina kalaini laini.
Asante mkuuPole sana
Ewaaah! Si unaona hilo la mamii angalau laini laini. Tunaenda sawa sasa.Hilo somo nilishafeli,
Sema sio mbaya ukiniga msasa hata kidogo mamii.
Bhasi hapo roho yako burudaani!Ewaaah! Si unaona hilo la mamii angalau laini laini. Tunaenda sawa sasa.
Mali gani? Kumbe kuna mali huku jf na hamniambii[emoji2297][emoji2297][emoji2297]Bhasi hapo roho yako burudaani!
Usije ukaniponza nikapigwa na wenye mali.
Hahaha, ma aunties wa bunju! Basi wakubwa wenzangu Ila sio wazee wenzangu, nyie bado mifupa inatafunika.Unatukosea Shem...Unakosea...
Watoto gani tena hapa[emoji23]
Sisi ni wale Ma Aunties wa Bunju[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hujajijua wewe ni mali,na inawezekana ukawa mali safi kabisa.Mali gani? Kumbe kuna mali huku jf na hamniambii[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Mmmh! Ile shughuli yako huo utoto uutoe wapi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Wewe na mwenzio nani?
Mie mtoto, usinizeeshe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]