Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Oooh kumbe!! Tell me more[emoji39][emoji39]Hujajijua wewe ni mali,na inawezekana ukawa mali safi kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh kumbe!! Tell me more[emoji39][emoji39]Hujajijua wewe ni mali,na inawezekana ukawa mali safi kabisa.
Shughuli gani tena mie mtoto!! [emoji15][emoji15][emoji15]Mmmh! Ile shughuli yako huo utoto uutoe wapi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Natamani kufanya hivyo..Oooh kumbe!! Tell me more[emoji39][emoji39]
Auntie tenaa[emoji15][emoji15][emoji15]Natumani kufanya hivyo..
Ila tuachie hapo auntie
Nitamiuliza dadako huenda anajua!!Shughuli gani tena mie mtoto!! [emoji15][emoji15][emoji15]
Nimeona sehem,nyinyi ni wale ma aunties wa bunju,Auntie tenaa[emoji15][emoji15][emoji15]
Huyo kashashindikana.Nitamiuliza dadako huenda anajua!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo kashashindikana.
Na mara nyingi mwanaumke ndio anaumia...sijui kuna nini kwenye mkunyenye ambao unawafanya nyie wanawake mtake zaidi ya kupelekewa moto?
Ila nafikiri tatizo kubwa la fwb ni kwamba kuna mmoja anaingia akiwa na hopes kwamba mbeleni mambo yatabadilika
Yesdid she pass away ?
Aliekudanganya mwanamke ndio anaumia ni nan?
Wote wanaumia kwa muda wake… mwanamke anaumia mwanzoni na ni rahisi kusahau na mwanaume anaumia badae na ni vigumu kusahau sema wanajikutaga manunda ila maumivu yako pale pale…
Exceptions zipo ila muda mwingi mwanamke ndio anaumia maana wanakuwa rahisi kujenga hisia.Aliekudanganya mwanamke ndio anaumia ni nan?
Wote wanaumia kwa muda wake… mwanamke anaumia mwanzoni na ni rahisi kusahau na mwanaume anaumia badae na ni vigumu kusahau sema wanajikutaga manunda ila maumivu yako pale pale…
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha, ma aunties wa bunju! Basi wakubwa wenzangu Ila sio wazee wenzangu, nyie bado mifupa inatafunika.
Kho!!!kho!!!kho!!!Mmmh! Ile shughuli yako huo utoto uutoe wapi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mmmmmmh!!!!Huyo kashashindikana.
Mmmmh!!! Niijulie wapi Shem[emoji23]Nitamiuliza dadako huenda anajua!!
Exceptions zipo ila muda mwingi mwanamke ndio anaumia maana wanakuwa rahisi kujenga hisia.
Mwanaume anaumia vipi bwana wakati alishakula mbususu.
Na wapo wanawake ambao wao wanaweza kuwa fwb bila matatizo yoyote. Mwwenyewe now nipo na fwb na huyu mwanamke wala hana ahida heye anasema kabisa hapa ni migegedo tuu
Shukrani mkuu.Pole sana