Special thread: Missing someone with special memories in your life

Special thread: Missing someone with special memories in your life

You were my first girlfriend and i was your first boyfriend. Your name starts with letter A. i will never forget you.

It has been 20+ years now, the visual of your beautiful smile keeps revolving in my memories. We were neighbors in Mikocheni around late 90s. we attended two different schools. i was in form two, your were in form one.

It was easy for me to date you because my family had a good neighborhood relationship with your family. I hope you still posses your qualities just like the old good days.

You were that tall, light skin, humble and beautiful zaramo girl that came from a middle class religious family. your father was a down-to-earth senior civil servant officer.

Our friendship was so tight. it was at this first time that i realized how to be in love real means about. I heard you got married to a rich pemba man and you have four kids with him. congratulation and God bless you.

This short letter is to let you know that i still love you and cherish all the old good memories of our friendship.

We're older now, the rest is history. May your life be blessed with good health and happiness forever.

it's me your first boyfriend J.

giphy.gif
View attachment 1755294
Maisha yanatutenganisha na wapendwa wetu. Hivyo basi kila mtu apatapo chance ya kuenjoy na mtu awe rafiki au yyte enjoy coz ikipita imepita


Wanadamu tunabadilika yule uliyenae Leo anaweza asiwe yeye wa kesho au wewe wa kesho



Mtu mkishatengana moja. 1. Awee mzuri Zaidi au awee mbaya zaidi


Sio mbaya your story imenigusa na mimi niwekee yangu
 
Hiyo miguu ilivyo mizuri kwa nini asikutafute, basi mtafute wewe kama vipi..? Huenda mwamba ana girlfriend wake huko wala hana time, vunja ukimya...
Nikimtafuta tunaongelea kazi tu.ila mimi nina jambo langu.i need to do this very professional we subiri. Humo humo kwenye kazi nafasi itapatikana.
 
Kuna mdada nilimpenda...nilimpenda ...yaani nilimpenda ila hasira hasara ....nawaomba mazee msije kua na wivu na hasira kama za kwangu mtakosa watu mtaowapenda kwa dhati

Ni hayo tu.
 
Nikimtafuta tunaongelea kazi tu.ila mimi nina jambo langu.i need to do this very professional we subiri. Humo humo kwenye kazi nafasi itapatikana.
....japo anaweza kukukula na kukuacha ubungo junction hasa akijua kuwa umezimika kwake.

Vunja ukimya, hata kimasihara basi ikiwezekana manake kama kweli angekuona unafaa kuwa mke na mama wa watoto wake angeshafanya move zamani sana.
 
....japo anaweza kukukula na kukuacha ubungo junction hasa akijua kuwa umezimika kwake.

Vunja ukimya, hata kimasihara basi ikiwezekana manake kama kweli angekuona unafaa kuwa mke na mama wa watoto wake angeshafanya move zamani sana.
Sababu nazijua ziko mbili, moja status yake ni kubwa mno for sake of his familylazima awe hivyo, ya pili naitunza😊 .tho hizo sababu hazinihusu, mimi nina malengo yangu.

Dear God plz one more chance, nimemiss anavyoshuka kimarikia, alinisimulia alikosomea, hiyo Birmingham inavyotamkwa sasa.😀😀😀 oh this man speaks nice dah.
 
Kuna mdada nilimpenda...nilimpenda ...yaani nilimpenda ila hasira hasara ....nawaomba mazee msije kua na wivu na hasira kama za kwangu mtakosa watu mtaowapenda kwa dhati

Ni hayo tu.
Mpigie simu muombe msamaha
 
Miaka mingi sana iliyopita nikiwa kijana mdogo sana naanza mapenzi moyo haukuwa na kovu lolote.

Nilikuwa very shy, gentle and caring young man.... Nikakutana na huyu mdada. Na aibu zangu hizo sikumtongoza tulikutana kijamii tukaelewana then we became lovers unexpectedly lakini likawa penzi tamu lisiloelezeka kimaandishi.

Ni kama nilinvunjika moyo, kila mahusiano niliyoanzisha baada yake naona kama yana mapungufu sababu nilijaribu kupima. Wanaonipenda wanailaumu sina mapenzi, najitahidi sana kuitafuta furaha ya penzi lakini sijawahi ifikia furaha ile.

Rest in peace my dear ****
 
Miaka mingi sana iliyopita nikiwa kijana mdogo sana naanza mapenzi moyo haukuwa na kovu lolote.

Nilikuwa very shy, gentle and caring young man.... Nikakutana na huyu mdada. Na aibu zangu hizo sikumtongoza tulikutana kijamii tukaelewana then we became lovers unexpectedly lakini likawa penzi tamu lisiloelezeka kimaandishi.

Ni kama nilinvunjika moyo, kila mahusiano niliyoanzisha baada yake naona kama yana mapungufu sababu nilijaribu kupima. Wanaonipenda wanailaumu sina mapenzi, najitahidi sana kuitafuta furaha ya penzi lakini sijawahi ifikia furaha ile.

Rest in peace my dear ****
So sad,pole Sana Mkuu, Mimi pia I still fondly remember the good old days when I was this young and caring young Man
 
Kuna mdada nilimpenda...nilimpenda ...yaani nilimpenda ila hasira hasara ....nawaomba mazee msije kua na wivu na hasira kama za kwangu mtakosa watu mtaowapenda kwa dhati

Ni hayo tu.
I'm going through this right now, usiku ule nilikuwa na hasira maana alinijibu majibu ya kuumiza nikamtext kumfokea she tried to calm things down lakini Mimi hasira zilikuwa juu nikamwambia afute na namba yangu

I lost the best woman in my life, nimekuwa mtu wa kujibembeleza kulala, I'm now emotional unstable
 
Dearest God plz one more chance. Huyu kaka nilikutana nae kikazi siku moja ila.naona nafasi nyingine haipatikani tena dah

Dear God kama ulikuwa unajua status zetu haziendani kwa nini ulinikutanisha nae afu hutaki kumleta tena? Sio fair.

Au ndo golden chance never come twice? Ulitaka nifanyeje siku hiyo wakati ilikuwa kazi tu, sawa tu.
Pole
 
Miaka mingi sana iliyopita nikiwa kijana mdogo sana naanza mapenzi moyo haukuwa na kovu lolote.

Nilikuwa very shy, gentle and caring young man.... Nikakutana na huyu mdada. Na aibu zangu hizo sikumtongoza tulikutana kijamii tukaelewana then we became lovers unexpectedly lakini likawa penzi tamu lisiloelezeka kimaandishi.

Ni kama nilinvunjika moyo, kila mahusiano niliyoanzisha baada yake naona kama yana mapungufu sababu nilijaribu kupima. Wanaonipenda wanailaumu sina mapenzi, najitahidi sana kuitafuta furaha ya penzi lakini sijawahi ifikia furaha ile.

Rest in peace my dear ****
Pole sana, mbona umemalizia na Rest in Peace, alishafariki?
 
Kuna mdada nilimpenda...nilimpenda ...yaani nilimpenda ila hasira hasara ....nawaomba mazee msije kua na wivu na hasira kama za kwangu mtakosa watu mtaowapenda kwa dhati

Ni hayo tu.
Pole sana, wivu uliopitiliza huo
 
I'm going through this right now, usiku ule nilikuwa na hasira maana alinijibu majibu ya kuumiza nikamtext kumfokea she tried to calm things down lakini Mimi hasira zilikuwa juu nikamwambia afute na namba yangu

I lost the best woman in my life, nimekuwa mtu wa kujibembeleza kulala, I'm now emotional unstable
Pole sana
 
Back
Top Bottom