Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

Ndio maana mpaka leo naipenda Facebook na ig kitambo ublock lazima uwe na vielelezo vya maana
 
Nisaidie namna ya kwenda huko mkuu, nshajarib nkashindwa, kuna masharti gan ya kujiunga uko

Sent using Jamii Forums mobile app
Sharti lakwanza usiwe umewahi kupigwa ban,
lapili uwe jf zaidi ya miaka 50,
Latatu usiwe mtumiaji wa sim aina ya tecno maana unaweza ukaiweka bahati mbaya mfukoni kumbe imefungua jf app nakuanza kututusi huku watu wazima
nafikiri nimejibu vyema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…