Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

Ukiona yupo jukwaa la siasa mara jukwaa la intelijensia mara international forum ujue huyo sio laini na romantic.

Watoto wazuri kama hawa mwisho wao ni instagram na tiktok. Sasa we tongoza humu usijesema hukuambiwa, we mtu anaichambua Syria na Hamas utadhani nayeye ni member halafu unakaza komwe kumtongoza.

Hivi vitu laini laini haviko huku
 
Daah...hiyo picha ya pili huyo mtoto alivyo na ngozi nzuri..laini na nyororo unaweza ukamtafuna mwili mzima.

Hata hapa JF kuna mdada yuko hivyohivyo..ila tu sipendi kumwita wala kupost pic yake.
Huyo wa kwanza humuoni au ushamzoea?tuliza macho usiwe kama wale wauza alkasus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…