Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukitaka kujua kazi ya muumba ilivyo haina mawaa ni hiyo picha hapo juu. Big up sirgodiMAPENZI YA MUNGU YATIMIE
Mungu hakuumba kibonge...ni uzembe na kula kula hovyo ndio kunasababisha ubonge nyanya.ukitaka kujua kazi ya muumba ilivyo haina mawaa ni hiyo picha hapo juu. Big up sirgodi
haya maelezo yako yana utata mkuu ukianza kusoma unaelewa vingine na ukifika mwisho unakuta maana ni nyingine kabisa ila big up kwa uandishi mzuriMzuka wanaJamvi!
Dah bwana zidi kutupa uvumilivu tu waja wako. Yani nikiwa na akses ya bandarini nazama kwenye zile kontena za makinikia nachota kama gunia tano hivi. Napekecha na kupembua halafu kitu nakipitisha kwenye moto mkali badaye nakipooza kwenye maji baridi kina toka kinang'aa halafu nauza, hela yote namkabidhi Huyu hapa chini.
View attachment 579991
haya maelezo yako yana utata mkuu ukianza kusoma unaelewa vingine na ukifika mwisho unakuta maana ni nyingine kabisa ila big up kwa uandishi mzuri
sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
Mzuka wanaJamvi!
Dah bwana zidi kutupa uvumilivu tu waja wako. Yani nikiwa na akses ya bandarini nazama kwenye zile kontena za makinikia nachota kama gunia tano hivi. Napekecha na kupembua halafu kitu nakipitisha kwenye moto mkali badaye nakipooza kwenye maji baridi kina toka kinang'aa halafu nauza, hela yote namkabidhi Huyu hapa chini.
View attachment 579991
Yuko wapi siku hizitpe za sheikh kipoozeo hizo,miss bantu wallah
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa ndo nimeeelewaMkuu, tuliza akili na mawazo yako yaani "concentrate" utamuelewa tu alichoandika.
Kwa kifupi, jamaa ni Mafia wa kufa mutu.
Hahahaha sio akili zake tu hata zangu zinahamia kabisa na kujenga makazi[emoji12] Zigo bhana lina hamasa zake ujue[emoji39] ngoja nikimbie kwa bafu mara moja nikapooze damu[emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]sio nna wivu ila mwanamke akiwa na makalio makubwa mie nahis huwa wanawaza kimakalio tu !akil izooote zinahamia huko !lol!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa ndo nimeeelewa
sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
takuwepo,si unajua naw sio zama zake yupo ila hasikiki sana
[emoji39] [emoji39] [emoji125] [emoji125]![]()
Wadau tusije tukaibiana tu madem zetu... Manake hamkawii nyinyi...
[emoji39] [emoji39]