Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

Mzuka wanaJamvi!

Dah bwana zidi kutupa uvumilivu tu waja wako. Yani nikiwa na akses ya bandarini nazama kwenye zile kontena za makinikia nachota kama gunia tano hivi. Napekecha na kupembua halafu kitu nakipitisha kwenye moto mkali badaye nakipooza kwenye maji baridi kina toka kinang'aa halafu nauza, hela yote namkabidhi Huyu hapa chini.
View attachment 579991
haya maelezo yako yana utata mkuu ukianza kusoma unaelewa vingine na ukifika mwisho unakuta maana ni nyingine kabisa ila big up kwa uandishi mzuri

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
 
haya maelezo yako yana utata mkuu ukianza kusoma unaelewa vingine na ukifika mwisho unakuta maana ni nyingine kabisa ila big up kwa uandishi mzuri

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app


Mkuu, tuliza akili na mawazo yako yaani "concentrate" utamuelewa tu alichoandika.

Kwa kifupi, jamaa ni Mafia wa kufa mutu.
 
Mzuka wanaJamvi!

Dah bwana zidi kutupa uvumilivu tu waja wako. Yani nikiwa na akses ya bandarini nazama kwenye zile kontena za makinikia nachota kama gunia tano hivi. Napekecha na kupembua halafu kitu nakipitisha kwenye moto mkali badaye nakipooza kwenye maji baridi kina toka kinang'aa halafu nauza, hela yote namkabidhi Huyu hapa chini.
View attachment 579991
knowless4.jpg
 
Mkuu, tuliza akili na mawazo yako yaani "concentrate" utamuelewa tu alichoandika.

Kwa kifupi, jamaa ni Mafia wa kufa mutu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa ndo nimeeelewa

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
 
sio nna wivu ila mwanamke akiwa na makalio makubwa mie nahis huwa wanawaza kimakalio tu !akil izooote zinahamia huko !lol!
Hahahaha sio akili zake tu hata zangu zinahamia kabisa na kujenga makazi[emoji12] Zigo bhana lina hamasa zake ujue[emoji39] ngoja nikimbie kwa bafu mara moja nikapooze damu[emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa ndo nimeeelewa

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app


Haaaaaa haaaaaa haaaaaa ndiyo hivyo sasa mkuu
Siku nyingine ukiona huelewi zima hata Simu kisha iwashe uanze kusoma upya utaelewa.

Mafia ni mutu wabaya sana
 
Back
Top Bottom