Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Sure kabisa wengine siasa zibatuleta stress tukitafute pa kuzitoa hakunaHahahaha Dah lile jukwaa lilikuwa hatari
Mwenyekiti ww mwenyewe tena ulilimudu vyuma
Naona jukwaa la wakubwa nalo liko off
Huu uzi wa warembo wakali dua tu zinahitajika[emoji23][emoji23]
Wengine mambo ya siasa sahv hatumooo ni huku tu
Ova
Sio fair kabisa
Walirudishe bhana