@Ollachuga mm Makao mapya Arusha nataka nirudi tena lkn nitakunywa nyagi haswa nizivumilie hizo kelele, ili nikaandike story ya hawa watu km si audio nichukue live na kuileta Jukwaa letu pendwa.
kweli biashara wanaijua kuna mmoja aliwaambia wenzake anaitafuta laki unusu ndani ya siku tano akamlipe mwenye nyumba wake, sasa jiulize vichwa vingapi kwa kutwa km kichwa ni buku 3 mpaka 5,
na niimsikia akimwambia mteja maliza kuna wateja watatu wananisubiri mm ntawakosa au watanihama,
akajibiwa mm nachomoa ndom akajibiwa ww tu, inatisha dunia hii ya ajira na ugumu wa maisha